JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, June 20, 2018

Anayetunga Siye Anayeamua Wala Anayeamua Siye Anayetunga.

 Sadick Kilasi     June 20, 2018     HEKIMA ZA WAZEE, MAHUSIANO, NJOZI     No comments   



Siku zote katika familia baba ndiye anayetawala na kutunga mambo mbalimbali, mama kazi yake ni kutunza sheria ambazo zimetungwa na baba. Mama kazi yake ni kuhifadhi yale ambayo baba anayasema.

Lakini pamoja na kwamba baba ndiye anayetunga lakini siye anayetoa amri, lakini pamoja na kwamba mama ndiye ayetunza sheria siye ambaye anatoa amri katika familia.

Je ni nani ambaye huwa anatoa amri katika familia?

Ukipanda mbegu ardhi ndiye inayootesha ile mbegu lakini ardhi inakutegemea wewe mpanzi kwa kiasi kikubwa sana kwa sababu wewe ndiye upandaye. Lakini baba kama mpanzi hawezi kujisifia bila mama muoteshaji ambaye ndiye mpanzi mwenyewe.

Mpendwa msomaji, watu hawa wawili baba na mama lazima waafikiane kwa pamoja ili wafanye Maamuzi yaliyo sahihi. Baba akifanya Maamuzi peke yake hayawezi kuwa maamuzi bora na sahihi katika familia mpaka mama ahakiki.
Mbegu huwa haioti mpaka ife lazima wote wawili wakubaliane kwa pamoja na wafanye maamuzi kwa pamoja.  Kuna msemo unasema wawili wakiungana nao wanakuwa mwili mmoja na kuwa kitu kimoja. Neno hili linapatikana katika Biblia.

Kanuni hii haifanyi kazi katika mazingira ya nje pekee, kanuni hii inafanya kazi mpaka kwenye saikolojia.

Kuna Maamuzi mawili ambayo ni hatari sana ambayo mhusika akiwa anatumia katika maisha yake.
😳Mtazamo
😭Na hisia zako.

Vitu hivi viwili usipo vipatanisha katika kufanya maamuzi ni hatari sana katika maisha yako. Maisha yako yatawaliwa na huzuni na kujisikia hovyohovyo kila wakati.  Na kama ni furaha utapata furaha ya muda na siyo ya kudumu siku zote. Wakati unaanza kufanya jambo utaanza kwa hisia na hamasa kwa sababu tu ni mwanzo.

Vitu viwili hivi vinapaswa kupatana kila eneo lako la maisha. Ukitaka kufanikiwa katika kila eneo lazima ulifie lile  jambo ndipo utapata mafanikio.

Kumbuka kitu kimoja rafiki yangu ambacho nimekuwa nazungumzia kila wakati, dunia haipo sawa lakini wewe kwa sababu si wa dunia hii lazima uishi kwa usawa. Usawa ndiyo maisha ya furaha na amani.

Tumia kanuni hii katika kila eneo la maisha yako ili uanze kufurahia maisha.

Kama bado hujajiunga na group letu la SURA YA UKWELI, tafadhari tuwasiliane ili kwa pamoja tupate kujifunza mengi zaidi.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ▼  June (17)
      • Jiandae Kutegua Chochote Kwa Wakati Wowote.
      • Kutumia Sheria Ya 'Ndani Nje' Kutatua Matatizo.
      • Viashilia Viwili Ambayo Vitaonyesha Kwamba Umefiki...
      • Jifunze Kufanya Kitu Hiki Siku Zote Za Maisha Yako.
      • Ishi Ndani Ya Wakati Usipoteze Chochote.
      • Acha Ushabiki Kuwa Mwanafunzi Kwenye Kila La Maish...
      • Tiba Kwa Ajili Ya Mawazo Na Stress.
      • Anayetunga Siye Anayeamua Wala Anayeamua Siye Anay...
      • Kaa Na Ujisikilize Mwenyewe Unasemaje.
      • Usiamini Ukweli Namna Unavotaka Wewe Bali Amini Kw...
      • Kuuondoa Matatizo Yako Yote Fanya Kitu Hiki.
      • Mzazi Usimwadhibu Mtoto Kibinafsi.
      • Upendo Na Haki Vikifanya Kazi Kwa Pamoja Huleta Us...
      • Ukweli Haupambwi.
      • Chochote Kinachofanyika Kwenye Ulimwengu Huu Ni Ch...
      • Kama Dunia Ingekuwa Hivi..
      • Kuwa Na Matumizi Mazuri Na Hali Yako.
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates