JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, May 3, 2018

Mtu Mzima Chezea Akili Kama Watoto. Bado Hujajuaa.........

 Sadick Kilasi     May 03, 2018     NJOZI     No comments   

Watoto wadogo mara nyingi sana huonekana kama hawajui kitu lakini wanajua kitu. Japokuwa huonekana hawajui kitu lakini wanatambua mama yuko wapi na ziwa la kunyonya likowapi.

Mfumo wa watoto wa kuelewa mambo ni kukalili.  Wanatumia zaidi ubongo uliojificha kuelezea mambo japokuwa wanakuwa hawana mambo mengi sana ambayo wameyaficha nyuma ya ubongo wao.

Japo kuwa wanatumia zaidi akili hii iliyojificha lakini kunawakati wanashangaza kidogo hasa wakiwa wadogo miaka mitatu mpaka sita hivi, wanamaswali magumu sana, sasa hapa ndipo wanajaribu kutumia akili isiyo fikika.

SOMA:Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.

Labda Mpendwa msomaji nikufafanulie kidogo juu ya aina za akili kwa mjibu wa wanathiolojia na kwa uchunguzi wangu mwenyewe. Kuna akili za aina tatu, akili ya ubunifu, akili iliyojificha na akili isiyofikika.

Watoto wanapokuwa wanauliza maswali wanakuwa wanatumia akili isiyofikika na unapowapa jibu, wanaweka jibu hilo kwenye akili iliyojificha.

Watoto wanapokuwa wanaliza haya maswali wanakuwa wanachezea akili yao japokuwa wengi tunajua watoto wanapenda kuchea vitu pia.

Watoto wanapenda kujua kila kitu kwa sababu ubongo wao unaruhusu kufanya hivo. Watoto hawatumii zaidi ubongo wa ubunifu kwa sababu bado akili yao iliyojificha haijakusanya mambo mengi ambayo yatafanyika kama mawazo. Akili zetu zinafanya kazi kama mawingu, sasa mawingu ya mbele, yanayotembea tembea ndiyo akili ya ubunifu au mawazo.

Watu wazima wanatumia zaidi akili  hii ya ubunifu na akili iliyojificha lakini hawapendi zaidi kutumia akili isiyofikika ambayo ukitumia mara zote unakuwa na furaha.

Kutumia akili isiyofikika ni pale ambapo unakuwa na usawa na ndiomaana unapotumia akili hii unakuwa na furaha. Akili hii inataka wakati wote uwe mjinga yaani uwe tayari kufundishika.

Akili hii itakupa Haki,  amani na furaha. Ni vema zaidi watu wazima tutumie akili hii tuwe tayari kufundishika kama watoto na mwisho akili nyingine zitakuwa zinajiendesha zenyewe bila shuruti ya mawazo hasa kwenye akili ya ubunifu na akili iliyojificha.

Ni vema kuchezea akili, kujiuliza maswali kama, kwanini, imekuajekuaje, hapa utakuwa umetambua haki yako ni kutafuta sababu na ukipata sababu utapata amani ni mwisho ni furaha kwa sababu umepata ukweli. Kweli humweka mtu huru.

Chezea akili kama mtoto kwa akili isiyo fikika, usishikilie jambo kwa kuaminishwa na mtu utakosa haki ya kumiliki jambo.

Ukawe na siku bora katika kuchezea akili.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 068700768 au sadikila65@gmail.com.


  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ▼  May (19)
      • Ukiufikia Ukweli Unakuwa Umebakiza Kitu Hiki.
      • Kutembea Ni Moja Ya Kujifunza.
      • Hakuna Matatizo Duniani, Tatizo Ni.....
      • Ukiufikia Ukweli Ni Gereza Huru.
      • Kwanini Watu Wanahasira?
      • Usiweke Sheria Kwa Kila Mtu.
      • Ufikiri Ambao Wewe Unafikiri Ambao Sio Wewe Ambaye...
      • Mbegu Haioti Mpaka Ife.
      • Usijichoshe Na Wakati, Wakati Hutoa Majibu.
      • Namna Ambavyo Unajipoteza Mwenyewe Wakati Wa Chang...
      • Kufikiri Kisheria Ni Mwanzo Wa Ujinga.
      • Jifunze Kwa Wenye Hekima Ishi Na Wajinga.
      • Usiogope Kuanza Katika Hali Ya Utupu.
      • Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha WAAMB...
      • Kufikiria Kwa Shukrani.
      • Je Ni Muhimu?
      • Mtu Mzima Chezea Akili Kama Watoto. Bado Hujajuaa....
      • Kama Huna Cha Kufanya Kuna Kitu Unapaswa Kufanya K...
      • Tunapojongea Kusogea, Kusogea Na Kusogea.
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates