Inawezekana unaumwa sana na huoni matumaini kabisa lakini mimi nakuambia mbegu haioti mpaka ife.
Je ni wakati gani wewe unapitia? Wakati mzuri au wakati mgumu?
Rafiki yangu inawezekana unataka kuwa tofauti zaidi ya mwanzo, basi vema, lakini jambo moja ambalo unatakiwa kutambua ni kwamba lazima ulifie hilo badiliko.
Ukipanda mbegu harafu ikabaki kama ilivo kamwe haiwezi kuota. Ukiyaendea mabadiliko kwa jinsi ulivyo huwezi kubadilisha chochote, lazima uyafie mabadiliko.
Wako Sadick Kilasi.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.

0 comments:
Post a Comment