JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, May 7, 2018

Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha WAAMBIE Nawapenda, Kilicho Andikwa Na Joyce Meyer.

 Sadick Kilasi     May 07, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Upendo upendo upendo ni jambo ambalo linazungumzwa kila mahala na ni jambo zuri sana. Maisha yenyewe ni mahusiano na ili mahusiano yawe yenye tija basi ni vema upendo ukahusika.

Joyce Meyer ametufunulia juu ya upendo wa Mungu kwetu. Ametuonyesha ni namna gani Mungu anavotupenda kutoka kwenye maandiko yake matakatifu kwenye kitabu cha Biblia.

Karibu tujifunze kwa pamoja ninapoenda kukushirikisha mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu hiki.

1. Watu wanahitaji ufunuo wa kibinfsi wa upendo wa Mungu kwao. Watu wengi wanaishi kwa kutokutambua ya kwamba Mungu anawapenda au hawapendi, wanamashaka na maisha yao. Kwa hiyo wanahitaji ufunuo wa upendo wa Mungu kwao ili wautambue vema upendo wa Mungu.

2. Hatuhitaji ufahamu wa kimawazo kuhusu upendo wa Mungu. Kwa kweli hatuhitaji ufahamu wa mawazo yetu juu ya upendo wa Mungu, kwa akili zetu ni ngumu kujitambua upendo wa Mungu mpaka tufunuliwe upendo huo.

3. Ni Roho Mtakatifu pekee ambaye anaweza kutufunulia upendo wa Mungu mioyoni mwetu. Ukifunuliwa utauona upendo wa Mungu wazi wazi.

4.Kukubali kwamba Yesu alitumwa ulimwenguni kwa upendo wa Mungu si jambo gumu lakini kukubali kwamba Yesu alitumwa kwa ajili yako pekee ungalikuwa unaishi duniani ni jambo gumu. Pamoja na kwamba Mwana wa Mungu alitolewa kwa sababu Mungu aliupenda ulimwengu lakini bado Mungu anakupeda wewe binafsi, amekufunulia upendo huo kupitia Roho Mtakatifu ukiwa peke yako.

SOMA:Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu cha Mbwana Wetu aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu (II)

5. Kama ungalikuwa peke yako hapa ulimwenguni yaani duniani Yesu bado angalikufa kwa ajili yako. Kwa sababu Mungu hataki hata mtu mmoja apotee.

6. Mungu anatupenda ajabu na upendo wake ni wa milele. (Teremos 31:3).

7. Wakati mwingine tunajinenea maneno yenye mwelekeo chanya, maneno ya ushindi lakini adui yetu mkubwa ambaye ni mwelekeo hasi huja haraka na kutushitaki na kusema kwamba wewe ni mtu dhaifu.

8. Kila mmoja wetu ni mtu binafsi aliyeumbwa kipekee na Mungu. Mungu anatupenda kwa upekee huu wa utofauti wetu wa kila mtu. Ndio maana ni vibaya kujilinganisha na mwingine.

8. Tunavipawa vya ajabu ndani mwetu, ambavyo Mungu kaweka ndani mwetu. Vipawa hivi vitutegemea sisi kuishi tukiwa na mtazamo chanya na tukiruhusu Mungu atupende.

9. Hatuwezi kitambua nini hasa upendo wa Mungu ulivyo kwa sababu tumepewa kila kitu kwa ajili yetu, jua, mvua, hewa, wadudu na mengine yote ni kwa ajili yako wewe.

10. Huwezi kumfanya Mungu akome kukupenda. Wengi wetu hufikiri tunamchosha Mungu, ukweli ni kwamba upendo wake ni wa milele kwetu. Tunafanya maovu tunapojikwaa, tunafikiri kwamba Mungu ameacha kutupenda. Upendo wake si tendo analolifanya bali ni kile alichofanya. Yote yapo tayari.

11. Mwanzo wa kuanza kufurahia maisha ni katika upendo na hapa ndipo utapata uponyaji wa kila kitu. Utaanza kupiga hatua katika maisha yako haijarishi utajifunza nini.  (1Yohana 4:18).

12. Kufikiri kwamba wewe ni mkosaji mbele za Mungu na Mungu hakupendi unajiumiza mwenyewe. Huwezi kumtumikia Mungu kwa matendo yako.

13.Huwa tunapokea kutoka kwa Mungu kupitia imani, kwa imani, lakini hata imani inafanya kazi kupitia upendo wa Mungu.

14. Upendo wa Mungu hutiwezesha kuishi bila hofu, na jambo zuri kwetu ni kutimiza hatima yetu.

15. Ni rahisi kuamini kwamba Mungu hutupenda bora tusitende kosa. Shida ni kwamba watu wengi hawajipendi na hii hufanya wajihisi kwamba huenda hata Mungu hawapendi sana.

16. Utajawa na huzuni tele katika maisha yako kama ukishi kwa kujilinganisha na wengine. Ukiwa pamoja na Mungu si lazima ufanye vyema au mema ya kutosha, kwa hiyo huna haja ya kutazama wengine, kwamba mbona wengine wanafanya hivi, wewe ni wa kipekee.

17. Kulingana na kile tunachojua Mungu anatalajia hicho kutoka kwetu mwisho anatibadilisha kutoka utukufu hadi utukufu ili tumfanane.

18.  Tujipe viwango vikubwa katika maisha yetu kwa sababu hivyo ndivyo Mungu anavyowaza juu yetu, tusijione ni wachache katika macho yetu au wadogo lazima tujiongeze.

19. Usimwambie Mungu matatizo yako, alikupenda tangu ukiwa na dhambi kwa hiyo wewe huna haja ya kumwambia matatizo yako.

20. Kila mtu ajiwazavyo ndivyo alivyo. Kama ukijiweka kwenye picha ya mtu mbaya basi ndivyo ulivyo. Hili ni tatizo la kutojipenda mwenyewe. Lazima ujitazame kwa mazuri kwa kila kitu

21. Tunahitaji imani na ujasiri ili kuwa huru.

22. Ni wakati ambao unajipa kichapo mwenyewe kupitia adui yetu shetani lakini Yesu alilipa uovu wote ambao unakusumbua kwa hiyo upo huru.

23. Hisia za hatia au mtazamo hasi na adhabu tinazojipatia hutukandamiza chini kiasi ambacho hawezi kuwa huru kabisa. Sio rahisi kuondoka kwa hali hii ya mgandamizo lakini polepole huku ukitambua kwamba Kristo alikufa kwa ajili yako kwa sababu ya udhaifu huu mwisho utakuwa huru.

24. Ukikosa Upendo wa Mungu pale ambapo utaanza kujihukumu mwenyewe, kutegemea haki yako mwenyewe. Tunaweza kujifunza kwa watoto, watoto hawana msongo wa mawazo na wakati ambao hujihisi hawapo huru basi huwalilia na kutua mzigo huo kwa mzazi. Kwa hiyo nasi hivyo hivyo lazima tumpe mzigo Mungu kwa sababu yeye ndiye Baba yetu, mambo yote atayamaliza.

25. Kuna tundu lililo wazi ndani mwetu kwa kila mmoja wetu. Upweke ambao Mungu peke yake awezaye kuuziba kwa hiyo ni vema ukamruhusu Mungu akupende. Upweke huo hauwezi kutoka bila yeye kuujaza.

26. Wakati au muda ni zawadi ya ajabu kutoka kwa Mungu lazima tutambue nini kipaumbele chetu katika wakati.  Shughuli zetu kwa wakati na Neno la Mungu lazima tulipe kipaumbele.

27. Upendo wa Mungu huleta uzima, amini, furaha na msisimuko wa kuishi.

Haya ni machache kati ya mengi ambayo nimejifunza kutoka kwenye kitabu hichi. Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye kitabu hiki. Usikose kusoma mwenyewe.

Kitabu hiki ni softi copy na audio copy. Kitabu napenda nawe ukisome. Nitumie ujumbe wasapu kwa 0687000768 ama kwenye email sadikila65@gmail.com nitakutimia bure kabisa. Andika ujumbe wa neno KITABU N, ili upate zawadi yako.

Ukawe na kufikiri kwema.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ▼  May (19)
      • Ukiufikia Ukweli Unakuwa Umebakiza Kitu Hiki.
      • Kutembea Ni Moja Ya Kujifunza.
      • Hakuna Matatizo Duniani, Tatizo Ni.....
      • Ukiufikia Ukweli Ni Gereza Huru.
      • Kwanini Watu Wanahasira?
      • Usiweke Sheria Kwa Kila Mtu.
      • Ufikiri Ambao Wewe Unafikiri Ambao Sio Wewe Ambaye...
      • Mbegu Haioti Mpaka Ife.
      • Usijichoshe Na Wakati, Wakati Hutoa Majibu.
      • Namna Ambavyo Unajipoteza Mwenyewe Wakati Wa Chang...
      • Kufikiri Kisheria Ni Mwanzo Wa Ujinga.
      • Jifunze Kwa Wenye Hekima Ishi Na Wajinga.
      • Usiogope Kuanza Katika Hali Ya Utupu.
      • Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha WAAMB...
      • Kufikiria Kwa Shukrani.
      • Je Ni Muhimu?
      • Mtu Mzima Chezea Akili Kama Watoto. Bado Hujajuaa....
      • Kama Huna Cha Kufanya Kuna Kitu Unapaswa Kufanya K...
      • Tunapojongea Kusogea, Kusogea Na Kusogea.
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates