JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, February 19, 2019

Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.

 Sadick Kilasi     February 19, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Hichi Ndicho Ambacho Dunia Inahitaji Sana Na Kimesahaurika Kwa Watu.


Ukiacha hewa ya oksijeni na ukiacha maji na kujumuisha na chakula kitu cha tatu ambacho dunia inakihitaji kwa kiasi kikubwa basi ni MTAZAMO. Hichi ndicho ambacho dunia inakihitaji sana na ndicho ambacho dunia imekusahau sana.

Nawezs kusema mitazamo ni kama oksijeni kwani ndiyo ambayo inasimamia uhai unaotuzwa kwenye mwili. Kama mtu akishindwa kuendesha mitazamo yake juu ya maisha yake ni sawa na fedha ambayo tayari kutu imengia, pole pole shilingi italiwa na mwisho itaisha kabisa.

Mitazamo ndicho ambacho kilimfanya Adamu ajione uchi na kukubali kutawaliwa na shetani lakini pia mitazamo ndio Yesu alileta ili kwa mitazamo tupate kupona. Anasema, Njoni kwangu nyinyi nyote mtesekao na mizigo, nanyi mtapumzishwa. Jivikeni nira yangu, kwani  NIRA yangu ni laini na nyepesi.

Gharama ya mitazamo ni kujifunza, na gharama ya kujifunza ni kuwa mtu wa kujishusha kwa kukubali kuwa mjinga na kujiuliza kwa kujifunza kwenye vitu vya kijinga kabisa. Gharama ya mitazamo ni kusoma sana, haijarishi wewe ni nani unapaswa kuwa mtu wa kujifunza na kuendana na mabadiliko.

Mitazamo ni oksijeni ya kipekee ambayo dunia haiitambui kwani haionekani kwa macho. Watu tunapenda kuendeshwa na vitu ambavyo vinaonekana na ndio maana Mungu aliifanya oksijeni ijiendeshe automatic la sivyo watu wote  tungeng'ang'ania vitu ambavyo vinaonekana kwa macho.

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mitazamo inamtaka mtu ambaye yupo tayari kubadilika na si kung'ang'ania kile ambacho unakijua kwani kitakuangamiza.

Jiuleze, unachukua muda gani kusoma, unachukua muda gani kujitafakarisha? Maisha yetu yamekuwa maisha ya mkukumkuku kwa sababu ya mitazamo yaani kwa sababu ya kushindwa kujiendesha badala yake kuendeshwa na mazingira.

Badili fikira zako, chukua hatua ya kusoma hasa neno la Mungu na anza kuwa mtu wa kujitafakarisha.

Magonjwa mengi ya ajabu yanatuvamia kwa sababu ya mitazamo yetu. Tunaruhusu hali fulani na hiyo hali inaruhusu udhaifu na hofu nyingi katika maisha yetu Yaani mtu anaweza akaamka asubuhi akawa anasumbuliwa na ndoto yake ya usiku na ikaharibu kabisa siku yake na siku yake ikawa hovyo kabisa hii yote ni kwa sababu ya mitazamo. Utayari wa kupokea jambo.
Viatu ulivyo vaa vitakupeleka unakokwenda.

Anza kubadili mitazamo kwa kujifunza. Nimekuwa natumia muda mwingi kuandika ili kukuweka katika hali fulani ambayo ni barabara sahihi na si barabara ya mkukumkuku, kwa hiyo lazima utambue kuwa huu ni ulimwengu wa matokeo yaani kila kitu ambacho kinatokea tayari kimetokea katika ulimwengu ambao hauonekani kwa macho kwahiyo unaposhindwa kuelewa vizuri unajiangamiza mwenyewe bila kujua.

Asante na karibu katika magroup yetu ili uendelee kujifunza na kubadili mitazamo yako. Mungu akubariki. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ▼  February (11)
      • Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.
      • Jivishe Reflector Yako.
      • Falsafa Ya Ufungaji Wa Mbuzi Na Uhuru.
      • Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji
      • Kila Tendo Ni Kujisaidia
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2
      • Link Yako
      • Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kutumi...
      • Tumia Vizuri.
      • Tano Ambazo Zitakujaza Furaha, Visababishi Vya Fur...
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates