JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, February 14, 2019

Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2

 Sadick Kilasi     February 14, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji, Mkulima Lazima Auharibu Ufugaji Ambao Hauna Uzalishaji.

Karibu tena katika mwendelezo wa uchunguzi wetu wa Falsafa ya kilimo na Ufugaji. Katika mwendelezo huu wa kutumia Falsafa hii wengi tutatoka katika vifungo fulani vya mazoea endapo tu tutachukua hatua.

Ukichunguza katika historia utagundua kwamba Ufugaji ulianza kabla ya kilimo. Ufugaji ni ile hali ya kufanya kitu Na kinakuwepo tayari. Kuna Ufugaji ambao hauna tija kabisa ambao mara husababisha majanga katika ardhi kwa sababu unakuwa hauna maana na hauleti mabadiliko yoyote. Sasa ili Ufugaji uwe  na tija lazima mkulima ahusike hapo. (Kidogo hapo huwezi kunielewa lakini utanielewa huko mbele kwanini ili mfugaji awe na ufugaji wenye tija lazima mkulima ahusike).

Wakati namhoji fundi kushona nguo, alinambia kwamba yeye lazima aharibu kitambaa ambacho kimefugwa ili kutengeneza nguo mpya. Yeye ananunua kitambaa ambacho kipo tu na kimefugwa, sasa ili atengeneze nguo ambayo anataka lazima aharibu na kukatakata kile kitambaa. Wakati huo kwenye kilimo lazima uiharibu ardhi ambayo na haina kazi, inawezekana ilikuwa ni msitu mnene lazima ukatekate miti na kuugeuza udongo ambao upo ugeukie chini na ardhi iwe katika hali ya ukiwa na utupu ndipo iruhusu mazao mapya kumeya. Na hapa ndipo tunakutana na Falsafa ya finger thinking✊.  Kila kitu ambacho kipo nje kipo ndani ya ubongo na mwili wako.

Katika maisha inawezekana kuna kitu kinakutesa kwa muda mrefu, katika maisha inawezekana Ubongo wako umejifunga katika hali fulani, inawezekana upo katika uraibu wa hali fulani, zana pekee ambayo utaitumia ni ukulima na kuanza ufugaji mpya ambao wewe mwenyewe unakuwa unajipangia si kama ufugaji ule wa kimasai ambao wewe unafuga mang'ombe mengi kiasi kwamba hujui kwanini unafuga na unafuga kwa sababu wewe ni mfugaji.

Kilimo ndicho kilicholeta  kutafakari japo ufugaji ndio ulikuwa wa kwanza kuwepo, kilimo ndicho kilicho ruhusu ufikiri wa kimaendeleo, kwani usipokuwa mhuharibifu huwezi kufanya jambo lolote jipya. Wakati Yesu alipopokea Roho mtakatifu ilibidi apelekwe jangwani na huko jangwani tunajua jinsi hali ya jangwani ilivyo, huko ndiko tunajitambua tukuwa tunapitia majaribu mazito mazito. Katika maisha ili uwe na ufikiri wenye maana lazima uende kwanza jangwani yaani hali ya ukiwa na utupu. Tengeneza hali ya ukiwa na utupu ndani ya ubongo wako, wakati unatengeneza hali hii ndipo unamruhusu Mungu kupitisha ujumbe kwenye fikira zako. Wengi tumeweka tamaa za vitu ambavyo tunavihitaji na ndio maana hatuwezi kuzifanya fikira zetu kuwa pevu. Katika maisha watu wengi tunashindwa kujivisha ile hali ya ukiwa na utupu kwani hali hii ndio inaruhusu zao jipya kumea na ndilo zao ambalo Mungu anakuwa amepanda kwani kila mzao wa kwanza ni wakifu kwa Mungu lakini kutokana na tamaa zetu tunajikuta tunapandikiza vitu ambavyo havina maana yaani sanamu na huku ndiko kuabudu miungu mingine.

Hatuwezi kujivisha rangi ya samawi yaani buluu kama upepo wa dunia hii utatuendesha. Mara nyingi sana tunatolewa katika upekee kwa sababu ya kutokulinda uwepo wetu na tunachukuliwa na kawaida ya dunia hii, kwahiyo jifunze kutunza uwepo wako na uhalisi wako.

Kwa leo tuishie hapa. Asante na Mungu akubariki.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ▼  February (11)
      • Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.
      • Jivishe Reflector Yako.
      • Falsafa Ya Ufungaji Wa Mbuzi Na Uhuru.
      • Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji
      • Kila Tendo Ni Kujisaidia
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2
      • Link Yako
      • Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kutumi...
      • Tumia Vizuri.
      • Tano Ambazo Zitakujaza Furaha, Visababishi Vya Fur...
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates