JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, February 25, 2019

Jivishe Reflector Yako.

 Sadick Kilasi     February 25, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Jivishe Reflector Yako.

Siku moja nikiwa kazini kwenye zangu za ujenzi niliambiwa lazima nivae reflector. Nikawauliza kwanini nivae reflector wakati  reflector yenyewe ni kinguo kilaini sana kiasi kwamba ni rahisi kuadhirika kwa jambo lolote kwa sababu hamna ugumu ambao utazuaia? Nikajibiwa kwamba unavaa ili upate kuonekana na wengine ili kupunguza ajali, kwa sababu hiyo reflector inapopigwa na jua inaakisi mwanga na ni rahisi mtu kuonekana.

Moja kati ya jambo muhimu zaidi ni kujivisha reflector yako yaani kuchagua upekee wako na kujizamisha kwenye upekee huo.
Watu wakivaa nguo za rangi fulani ni rahisi kuwatofautisha hata wakiwa mbali. Ni lazima uwe na upekee wako ambao ndio itakuwa zawadi yako ya pekee.

Moja ya sababu ya mtu kuishi maisha ya furaha ni kuwa na kitu cha kuwapa watu. Niamini mimi ukimpa mtu kitu unajihisi wewe unasababu ya kuendelea kuishi. Sasa watu wengi hatupendi vitu ambavyo tayari tunavyo, bali tunapenda vitu ambavyo hatuna. Na ndio maana imeandikwa, Madhabahu tunayoihudumia vyombo vyake hatuvitumii. Wewe unapaswa kuwapa wao na wewe uwe tayari kupokea kutoka kwako. Ushirikiano unajengwa kwa mapungufu. Mapungufu yanaleta mwingiliano na mwingiliano huleta kujengana.

Ili kuwa na upekee wako zipo tabia ambazo ubapaswa kuwa nazo na moja kati ya tabia hizo ni kukumbuka ni wapi ulikotoka. Mapito yako ya nyuma. Ukikumbuka ulikotoka mapito yako na asili ya wazazi wako lazima utajivisha rangi yako ya upekee. Hii ni moja ya njia ya kuvisha reflector yako ya upekee wako na itakuwa rahisi kuonekana kwa sababu wewe ni wa kipekee. Paulo alimwambia Timotheo, achunge sana Imani ambayo ilikuwa kwa Bibi yake, kwa Mama yake na anaamini kwamba hata kwake ipo. Na akamwonya kwamba asifuate namna ya dunia hii, ajisikilize zaidi ndani mwake.

Huwezi kutoa maji kwenye mafuriko na maji yako yakaeleweka. Huwezi kupiga kelele penye kelele ukasikika. Naam, uelewe mto wako na uuishi mto wako.

Jipatie soft copy ya Dunia Mama kwa shilingi 5000 tu ili ujengeke katika upekee wako.
Tuma malipo kwenye namba yangu 0687000768, nami nitakutumia kitabu. Asante, Mungu akubariki.

Sadick Kilasi wa jikilaushauri.blogspot.com.


Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ▼  February (11)
      • Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.
      • Jivishe Reflector Yako.
      • Falsafa Ya Ufungaji Wa Mbuzi Na Uhuru.
      • Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji
      • Kila Tendo Ni Kujisaidia
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2
      • Link Yako
      • Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kutumi...
      • Tumia Vizuri.
      • Tano Ambazo Zitakujaza Furaha, Visababishi Vya Fur...
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates