JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, February 15, 2019

Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji

 Sadick Kilasi     February 15, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kwa Kutumia Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji.

Ninamshukuru Mungu ambaye ameniwezesha kupata wakati mzuri wa kuchunguza mazingira mbalimbali na kuniwezesha kupata dhana mbalimbali ambazo zitanisaidia na kuwasaidia wengine katika kufikia lengo la kila mmoja la kuishi maisha yenye maana na furaha. Ninamshukuru Mungu ambaye anahusika katika kila jambo ili kuhakikisha tunafikia lengo hilo la kuchunguza na kupata maana halisi kwa kutumia misingi ya neno la Mungu na mazingira ambayo tunaishi.

Maisha yetu yamekuwa kama bahati hivi, hisia zetu zimekuwa zinapanda na kushuka, mawazo yamekuwa yanakuja na kuondoka, kitu ambacho kimesababisha sisi kukosa furaha na kushindwa kuwa na matumaini yenye nguvu.
Kwa sabubu tumedhamiria kufanya kitu na tumekusudia kufikia lengo tukijiweka chini ya neema ya Mungu tunategemea tutafikia viwango vikubwa vya kuijua asili na kueletea maana kwenye mawazo na Ubongo wa mwanadamu.

Tuliahidi kwamba mwaka 2019 kwa kadili ambavyo Mungu atajalia utakuwa mwaka wa falsafa, ambayo ambapo ni kuchunguza na kuleta kitu kipya ambacho kinaleta mantiki na kueleweka.

Falsafa ya kilimo na ufugaji, na jinsi ya kutumia mfumo wa kilimo na ufugaji ili kuyaondoa mawazo mabovu ambayo yanakugandamiza na kukuchelewesha kuwa na fikira chana ni falsafa ambayo ni bora zaidi, na namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuelewa hili.

Watu wengi sana wanateswa na fikira ambazo hawazitaki, ni fikira ambazo kwao ni mzigo lakini jinsi ya kutua hizi fikira mgandamizo linakuwa ni jambo gumu kwa kwani kwa kadili ambavyo wanajitaidi kujiachilia kutoka kwenye fikira hizo mgandamizo ndivyo wanajikuta katika hali mbaya zaidi. Na hapo ndipo utawakuta watu hawa wanajiingiza kwenye pombe, wengine wanaumia tu na kuvumilia na kusubili mawazo hayo yaondoke yenyewe. Wengine hali hii ikiendelea wanakata tamaa kabisa na kushuka kabisa kihisia na kukosa hamasa ya kuishi maisha yenye maana na furaha.

Ili kujiondoa katika hili tunapaswa kutumia dhana ya ukulima na ufugaji, na ili kuielewa vizuri unapaswa kuelewa nini maana ya ukulima na nini maana ya ufugaji. Kutokana na sisi wenyewe kutokufanya lolote ardhi yetu yaani Ubongo hujilima na kusababisha miiba kumea na kusababisha sisi kufuga mawazo ambayo sisi wenyewe hatuyahitaji.

Dhana hii ni ngumu kidogo kuifanyia kazi ijapokuwa ni rahisi kuelewa. Ila hakuna jambo ambalo haliwezekani kama ukijiweka chini ya haki ya Mungu, kwani Mungu ni mweza wa kila jambo.

Kwa wale ambao wangependa kujifunza dhana hii ambayo ni highest level thinking, (najisifu mbele za Mungu), hakikisha unakuja inbox, tutajifunza pole pole na kufikia viwango vikubwa zaidi na zaidi kwani hakuna lisiliwezekana chini ya uwepo wa Mungu, na tutatumia neno la Mungu  ili iwe rahisi kwa kila mmoja kuelewa na kujifunza zaidi.

Karibu sana, na asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ▼  February (11)
      • Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.
      • Jivishe Reflector Yako.
      • Falsafa Ya Ufungaji Wa Mbuzi Na Uhuru.
      • Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji
      • Kila Tendo Ni Kujisaidia
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2
      • Link Yako
      • Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kutumi...
      • Tumia Vizuri.
      • Tano Ambazo Zitakujaza Furaha, Visababishi Vya Fur...
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates