JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, December 9, 2018

Wakati Wa Kujitokeza.

 Sadick Kilasi     December 09, 2018     No comments   




Tumeimaliza program yetu ya kuishi maisha yenye maana jumapili ya jana. Binafsi nimejifunza mengi namna ambavyo nililivyo na jinsi ninavyochukulia mambo. Natumai hata wewe kuna jipya umejifunza, kama tumekuwa wote katika program hii basi yawezekana umebaki kama ulivyo ama umekwenda mbele hatua kidogo. Kama umekwenda mbele hatua kidogo, hongera sana lakini kama hakuna matokeo yoyote ambayo hujapata bado hujachelewa unaweza kufanya lolote nangu sasa ili kuondoka katika hali hiyo ya mgando.

Tuna safari ndefu sana ambayo tunapaswa kwenda ili kuhakikisha injili inafika mbali. Tumeshiriki wiki hii ya kuishi maisha yenye maana tukifokasi katika tabia mbalimbali kwa wiki tofauti sasa ni wakati wa KUJITOKEZA.

Ndugu yangu, ukienda kulala usiku, usipotoka ndani ya chumba chako watu watajua umelala hata kama umeamka. Mbegu iliyopandwa chini ya ardhi isipojitokeza juu itaonekana imekufa hata kama haijafa. Martin Luther King Jr anasema, ukimya wa wapendwa wetu unaumiza sana kuliko kelele za maadui zetu. Albert Einstein anasema, dunia si mbaya kwa sababu ya watu wabaya ila ni mbaya kwa sababu ya watu wazuri ambao wamekaa kimya.

Wewe ni shaidi katika ulimwengu wa sasa kwa sababu sisi sote tunaishi katika ulimwengu huu. Matunda ya ulimwengu huu ni mabovu hayafai hata kuliwa. Tunasababu ya kuchukua hatua mimi na wewe kuhakikisha nuru inang'aa ulimwenguni.  Sisi ambao tunabahatika kusoma mafunzo mbalimbali ya kujenga tunapaswa kuenda hatua ya ziada, tunapaswa kuwa nuru ya ulimwengu.

Usifikiri wakati wote kuwa chini ya kivuli cha mti mkubwa eti kwa sababu muda wako haujafika bado.  Ukiangalia miti ambayo huwa inakuwa chini ya vivuli vya miti mikubwa huwa inaonekana kustawi wakati wote lakini huwa haifiki mbali kwa sababu haiwezi kujitegemea yenyewe. Badala ya kulishwa kila siku maarifa kanisani na kwenyeajukwaa mbalimbali ni wakati kufanyia kazi ambayo unajifunza kila siku. Usipokuwa makini kama ukijifunza kitu na usipokitendea kazi unakuwa mlevi, mlevi wa maarifa kitu ambacho kitakufanya kuona kwamba kila siku unahitaji maarifa zaidi ili kufanya jambo kumbe unapaswa kuanzia na pale ulipo. Kithamini kwanza ulichokipata ikisha kichofuata kiwe na thamani zaidi.

Ili kuweza kutumika na Mungu si jambo la ajabu sana ni jambo ambalo tunapaswa kukusudia kama tulivyokuwa tunakusudia kwenye mwezi wetu wa kuishi maisha yenye maana. Tunachopaswa kufanya ni kumrusu Mungu kutenda kazi ndani mwetu. Sisi tunafokasi katika matunda yake.
-UPENDO
-FURAHA
-UVUMILIVU
-UTU WEMA
-FADHILI
-UAMINIFU
-UPOLE na
-KIASI.

Tumesha jifunza namna ya kuendesha tabia mbalimbali kupitia program yetu ya mwezi na sasa hizi ndizo tabia ambazo ni matunda ya Roho wa Mungu ndani mwetu, inamaana kama kila siku tukiamka na kukusudia kuishi tabia hizi tutakuwa tunaishi kwa kutumika na Mungu.

Andika hizi tabia na uweke mahala peupe na kupitia kila siku. Ni mtu yeyote ambaye anapaswa kufanya hivi haijarishi ni mtumishi ama si mtumishi. Ikiwa tu unamwamini Yesu utapikea Roho yake na kwa mwongozo wake utaonyesha matunda hayo.

Jitokeze ili kuirutubisha dunia. Hata kama hupendi namna ambavyo dunia inafanya usipojitokeza hakuna lolote ambalo linaweza kubadilika. Siku zote mambo ya Mungu yapo automatic, mwanadamu ndiye haaminiki na ndiomaana meno ya juu hachezi lakini ya chini yanachezacheza. Ukitoka nje utakutana na jua. Chochote unachohitaji unahitaji kukiendea na kukifanya.

Anza sasa huu ndio wakati wako.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ▼  December (17)
      • Jani Lilojiachilia.
      • Je, Unaweza Kula Chakula Harafu Na Kufuta Mdomo Na...
      • Je! Andazi Laweza Kupita Mikononi Mwako Harafu Lis...
      • Je! Itapona?
      • Dalili Za Mabadiliko.
      • Sala Ya Shukrani.
      • Ni Wapo Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?
      • Ulipo Hapo.
      • Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma Yako.
      • Kilichofichwa Hufichuliwa. Je! Mwizi Tutamchukuliaje?
      • Mungu Mfalme Wa Haki.
      • Bubujiko lisilo isha.
      • Wakati Wa Kujitokeza.
      • Sababu Nne (4) Kwanini Unapaswa Kusamehe Watu.
      • Katika Wiki Ya Hamasa, Nakuandikia Wewe Uliye Mkubwa.
      • Katika Wiki Ya Hamasa
      • Katika Wiki Ya Kukua, Unahitaji Kupalilia.
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates