JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, December 14, 2018

Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma Yako.

 Sadick Kilasi     December 14, 2018     No comments   

Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma  Yako.

Tukitanguliza mabaya katika mitazamo yetu kwenye mahusiano hatuwezi kuona uzuri wa mambo ambayo watu wanatufanyia.

Tukitanguliza kivuli katika mwendo kwenye maisha inatufanya tusione mambo mazuri ambayo Mungu katuandalia kwaajili yetu.

Siku zote unapoelekea kama mwanga upo mbele yako basi kivuli kitakuwa nyuma yako. Kama kivuli kikiwa mbele yako kitakuzuia usione vema. Wakati Mungu anafanya uumbaji kwanza alitanguliza nuru mbele kitu ambacho kilifanya giza liwe nyuma.

Hata macho yetu yanatufunza, kwa sababu rafiki wa macho ni mwanga, mwanga ukiwepo tunaona vyema. Nyuma yetu hakuna macho kwahiyo nyuma yetu ni giza hata kama kunamwanga.

Hata Nuhu wakati wa gharika ya maji alipomtanguliza kunguru kunguru hakurudi kwa sababu yeye asili yake ni mweusi lakini njiwa alienda na kurudi.

Kutanguliza ubaya katika maisha, ni bonge la kosa. Ni sawa na kufumba macho ili kujizuia usione mbele. Wakati umekosewa na mtu na ukatanguliza ubaya wa kumchukia ni sawa na kuwekewa sumu mbele yako, nawe unachukua harafu unainywa ukitegemea adui yako atadhurika.

Sio siri, hakuna kitu kizuri kama kuona wema kwenye kila jambo, maana ni sawa na kuchoma ubaya kwa wema.

Je, umeokosewa sana na mtu ambaye ulimwamini? Je, maisha yako hayana matumaini unahisi uchungu wakati wote?  Leo nataka uone, uone kwa kutumia ubongo na siyo macho. Uone namna gani ambavyo huwa inatanguliza mabaya mbele yako badala ya nuru ambayo ndiyo husafisha njia yako.

Unaweka kizuizi mbele harafu unataka kwenda mbele, je, hii inaleta maana? Ona wema kwenye kila jambo. Acha kutanguliza mabaya katika maisha yako. Mtumanie Mwenyezi Mungu yeye ndiye Mfalme wa nuru, jiweke chini ya haki yake, usihukumu kwani wewe sio Mungu.

Ni bora kuzingatia mazuri ambayo adui anakufanyia kuliko kuzingatia mabaya yake. Ni bora kuona mazuri ambayo mtu anafanya kuliko kukazana kuona mabaya.

Asante kwa kusoma makala hii, msambazie na mwingine. Kuchukua hatua ni muhimu zaidi na ndiomaana kuna Agano la kufanya tohara, (kuondoa govi).

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.

  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ▼  December (17)
      • Jani Lilojiachilia.
      • Je, Unaweza Kula Chakula Harafu Na Kufuta Mdomo Na...
      • Je! Andazi Laweza Kupita Mikononi Mwako Harafu Lis...
      • Je! Itapona?
      • Dalili Za Mabadiliko.
      • Sala Ya Shukrani.
      • Ni Wapo Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?
      • Ulipo Hapo.
      • Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma Yako.
      • Kilichofichwa Hufichuliwa. Je! Mwizi Tutamchukuliaje?
      • Mungu Mfalme Wa Haki.
      • Bubujiko lisilo isha.
      • Wakati Wa Kujitokeza.
      • Sababu Nne (4) Kwanini Unapaswa Kusamehe Watu.
      • Katika Wiki Ya Hamasa, Nakuandikia Wewe Uliye Mkubwa.
      • Katika Wiki Ya Hamasa
      • Katika Wiki Ya Kukua, Unahitaji Kupalilia.
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates