JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, December 9, 2018

Sababu Nne (4) Kwanini Unapaswa Kusamehe Watu.

 Sadick Kilasi     December 09, 2018     No comments   



Moja ya kitu kikubwa zaidi ambacho nimekuwa napenda kuona mtu anajikwamua na kwenda hatua ya juu zaidi katika maisha yake kwenye mahusiano ni jinsi ya kuachilia msamaha kwa wale ambao wanamwumiza. Jinsi ambavyo unaweza kujiachilia wakati mgumu na kutokupoteza furaha yako hata kwenye jambo ambalo isingewezekana kabisa kuachilia msamaha.

Na kama tunavyojua, kinachotutesa watu wengi ni hali ya ubinafsi iliyopo ndani mwetu na hii ndio ilisababisha Kaini amwue ndugu yake, ilisababisha Mafarisayo na waalimu wa sheria wamkatae Yesu, na hii pia ndio inasababisha watu sasa hivi tuishi kama tunavyoishi. Kama kuna eneo ambalo halipo sawa basi chanzo kikubwa ni ubinafsi.

Ili kuishi maisha ya furaha na kutokurusu kuumizwa na wengine ipo sababu ya kujifunza namna ya kuachilia msamaha. Kuna kitabu ambacho Deo Kessy amekiandika kinaweza kukusaidia zaidi jinsi ya kuachilia msamaha, wasiliana naye kwa 0717101505. Jipatie kitabu hichi ni kizuri sana.

Lakini leo napenda tuangalie, kwanini unapaswa kuwasamehe watu walio kukosea. Unajua kwenye hii dunia utambuzi ndio unatufanya tuendeshe maisha na ndiomaana ni muhimu kujifunza hata jinsi ya kuwasamehe watu. Mtu hawezi kusamehe asipokuwa na Roho njema ambayo ni Roho ya Kristo ambayo tunaipata baada ya kujifunza neno la Mungu na kuua kabisa tabia za nafsi na tunabaki tukiendeshwa na Roho badala ya kuishi kawaida na kutafsiri mambo kimwili.

Sababu Kwanini Usamehe.


1.Uwepo wako mbele ya macho ya huyo ambaye amekukosea ni sababu ambayo imesababisha hiyo migogoro. Ni rahisi kuona makosa kwa wengine lakini ni ngumu kuona makosa yetu. Kila mgogoro unapokuja huwa unakuja kwa chanzo, kuna mbegu ambayo ilipandwa. Ikiwa upo katika eneo la migogoro basi hata wewe umeingilia ufalme wa mwingine. Usingekuwepo hakuna jambo ambalo lingetokea. Kuwa tayari kujiadhibu badala ya kuwasingizia wengine kwenye kila kitu.


2.Mbegu ya chuki inatoka wapi? Kama ukiona mwingine amekukisea, jiulize, nimejuaje kwamba amenikosea kama sio tafsiri ya uovu uliopo ndani mwangu? Mtu anayeweza kuonyesha uovu naye ni mwovu. Kila mtu anamakosa yake ambayo alishakosea, je! ulishawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani yule uliye mkosea aliumia kiasi gani hapo nyuma? Kila mtu hupokea jambo kwa uzito wake. Hata kama uliomba msamaha, huwezi jua kovu ambalo umeliacha linamwumiza kiasi gani. Achilia msamaha kwa Sababu unajua kukosewa kwa sababu hata wewe umewakosea watu. Watoto wadogo hawana uovu ndani mwao na ndio maana utakuta mtoto mdogo haoni ubaya wowote, anapofanya jambo yeye hufanya tu, ila wanajua uovu utasikia huyu, mwizi, huyu ni mbaya, huyu ni malaya na mengine kama hayo. Usihukumu penda huruma.

3. Kila mtu yupo bize na hema yake. Kila mtu anamapungufu yake, kila mtu yupo bize na kile ambacho ataka kuwaza. Huwezi kumlazimisha mtu muendane kimawazo ni jambo ambalo haliwezekana. Kila mtu anamtazamo wake juu ya mambo fulani na ndio maana tumesema huwezi kusamehe kama hujui nini maana ya msamaha na kama huna Roho ya Mungu ndani mwako. Ikiwa mtu hajajifunza juu ya msamaha hawezi kusamehe kwa Sababu hana elimu hiyo. Hatuwasamehe wengine kwa sababu wametukosea tunawasamehe wengine ili tujisamehe wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kumsame mwingine isipokuwa waweza kujisamehe mwenyewe. Kutokujisamehe mwenyewe ni sawa na kunywa sumu mwenyewe na kutegemea mwingine atakufa kwa sumu uliyokunywa wewe. Kwa hiyo anza kubadili mtazamo, toka nje ya hema yako na ndipo ulalamike mvua. Wakati mwingine unapaswa kujua nini mwenzako anafikiria, ingia ndani ya hema yake ili ujue ni kitu gani hakipo sawa.

4.Mtu siyo kosa, yeye ni tofauti na kosa. Mara nyingi kinachotuumiza ni kile ambacho tayari kimefanywa na wala si kile ambacho kinafanywa au ambacho hakijafanywa. Watu huwa wanabadilika, watu huwa wanajirekebisha. Sisi ni watu ambao tunamapungufu lakini sifa ya mwanadamu ni kwamba anauwezo mkubwa wa kubadilika na kukua kwa chochote kile. Ukiona unazingitia sana mambo ambayo umefanyiwa inamaana umekosa uwepo, huishi sasa hivi, mwili wako upo hapo lakini fikira zako bado zimetekwa na tukio la nyuma. Kunautofauti mkubwa kati ya kosa na mtu, kunautofauti mkubwa kati mtu na anachokifanya. Jitaidi kuishi sasa na kuyapa thamani mambo ambayo unafanya saizi.


Kujiondoa katika kila kifungo inahitaji utayari, utayari wa kufanya. Nimekupa harufu ya matumaini ya kuwasamehe watu ili uishi maisha ya furaha, unahitaji kufanya mchakato nawe utashiba amani na furaha.

Tafakari;
6:1, Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho  mrejezeni upya mtu huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.

Ndugu yangu, nisaidie kusambaza makala hii ili iwafikie wengi zaidi. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.


Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ▼  December (17)
      • Jani Lilojiachilia.
      • Je, Unaweza Kula Chakula Harafu Na Kufuta Mdomo Na...
      • Je! Andazi Laweza Kupita Mikononi Mwako Harafu Lis...
      • Je! Itapona?
      • Dalili Za Mabadiliko.
      • Sala Ya Shukrani.
      • Ni Wapo Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?
      • Ulipo Hapo.
      • Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma Yako.
      • Kilichofichwa Hufichuliwa. Je! Mwizi Tutamchukuliaje?
      • Mungu Mfalme Wa Haki.
      • Bubujiko lisilo isha.
      • Wakati Wa Kujitokeza.
      • Sababu Nne (4) Kwanini Unapaswa Kusamehe Watu.
      • Katika Wiki Ya Hamasa, Nakuandikia Wewe Uliye Mkubwa.
      • Katika Wiki Ya Hamasa
      • Katika Wiki Ya Kukua, Unahitaji Kupalilia.
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates