JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, December 18, 2018

Ni Wapo Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?

 Sadick Kilasi     December 18, 2018     No comments   

Ni Wapi Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?

Mwaka huu nilianza mwaka kwa kuishi falsafa ya mti, ninashukuru nilianza kwa kuelewa mambo mchache lakini mpaka sasa kuna sehemu kubwa ambayo nimejifunza kutoka kwenye mti.

Yapo mengi sana ambayo unaweza kujifunza kutoka kwenye mti. Binafsi mimi nimejifunza kwa kiasi changu namna ambavyo mti unaweza kunielewasha nini maana halisi ya maisha. Kabla ya mwaka huu kuisha nitakushirikisha mambo ambayo nimejifunza kutoka kwenye mti lakini pia kwenye kitabu cha Dunia Mama Haimtupi Mwanae, nimeeleza mengi juu ya mti.

Unajua tunapoishi hapa duniani ni kama tumetupwa kwenye sehemu ambayo hatuijui. Na hata wale ambao wametumika kutuleta duniani wameendelea kuishi bila kutafuta uhalisi kamili wa maisha. Japokuwa wapo wengi ambao wamefanya kwa kiasi kikubwa ila nasi hatuna budi kujua zaidi na kuendeleza pale ambapo wamefikia wenzetu. Vipo vitabu vitakatifu ambavyo ndiyo msingi wa haya yote. Lakini yote kwa yote kuweka mambo wazi wazi, sifa za Mungu ni kuficha hekima na mwanadamu kufichua hekima za Mungu.

Wapi Mwisho Wa Pumzi Yako?

Ushawahi kuiona miti, miti ambayo inakuwa chini ya miti mingine? Bila shaka ushawahi kuona.

Tunachoishi duniani ni kukua na kukua huwa kunategemea utupu yaani anga. Sasa anga lako likiwa jilani ni wazi kwamba  hakuta kuwa na uwezekano wa kukua, kwa sababu utazuiwa kwa juu ili usiendelee mbele. Miti inafokasi kuelekea juu angani, inakuwa na pumzi kubwa kwa sababu ya utupu mkubwa.

Katika maisha ya kawaida kunauwezekano mkubwa sana wa kuzuia anga na kufanya pumzi yako isifanye kazi vizuri. Na hii hufanyika katika ubongo wako namna ambavyo unaendesha maisha. Tamaa ya mambo ya dunia fedha, wanawake inaweza kukuzuia usipumue vizuri katika maisha yako, watu wanaokuzunguka wanaweza kukuzuia usipumue vizuri. Jiulize namna ambavyo unaendesha maisha yako, je, wewe ni mti ambao upo chini ya mti mwingine? Unapaswa kuona anga likiwa wazi juu na sio kuwa chini ya kivuli kingine. Tunakuwa katika hali nne, ambazo tunapaswa kupata wakati wote, kwanza, Maji, pili udongo ama kitu, tatu mwanga na nne hewa. Sasa hapa leo tunazungumzia mwanga na hewa.

Ukiwa chini ya kivuli cha mti mwingine huwezi kupata mwanga vizuri. Ukiwa chini ya mti mwingine huwezi kupumua vizuri kwa sababu unazuiwa na aliyeko juu yako.

Kutawala sio kumiliki, kutawala ni utambuzi, kumiliki ni kujimilikisha na kuweka mipaka. Kumiliki huletaa tamaa, tamaa ambayo inasababisha kuwa mtumwa wa hicho ambacho unamiliki. Unachomiliki kinakuzuia usione mbele yako wewe kitu ambacho husababisha pumzi yako isiwe huru.

Ndugu, tumebarikiwa tuwe baraka. Vitu ambavyo ni vya dunia hii huzuia pumzi yetu isifanye kazi vizuri. Chunguza kile ambacho kinakunya kila siku uamke na kufanya kazi, je? kinakupa furaha ama kinazuia pumzi yako tu! pumzi inapotoka vizuri inakufanya ujiachilie vizuri.

Elewa maisha ili uishi maisha, ni kipindi cha hakati hiki, tunaweza kujikuta tunajiingiza katika mambo ambayo sio kisudi letu kuishi.

Elewa na uishi, ishi na uelewe.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ▼  December (17)
      • Jani Lilojiachilia.
      • Je, Unaweza Kula Chakula Harafu Na Kufuta Mdomo Na...
      • Je! Andazi Laweza Kupita Mikononi Mwako Harafu Lis...
      • Je! Itapona?
      • Dalili Za Mabadiliko.
      • Sala Ya Shukrani.
      • Ni Wapo Wewe Mwisho Wa Pumzi Yako?
      • Ulipo Hapo.
      • Kifanye Kivuli Kiwe Nyuma Yako.
      • Kilichofichwa Hufichuliwa. Je! Mwizi Tutamchukuliaje?
      • Mungu Mfalme Wa Haki.
      • Bubujiko lisilo isha.
      • Wakati Wa Kujitokeza.
      • Sababu Nne (4) Kwanini Unapaswa Kusamehe Watu.
      • Katika Wiki Ya Hamasa, Nakuandikia Wewe Uliye Mkubwa.
      • Katika Wiki Ya Hamasa
      • Katika Wiki Ya Kukua, Unahitaji Kupalilia.
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates