JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, July 4, 2018

Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu Na Kujifunza.

 Sadick Kilasi     July 04, 2018     TAFAKARI YA ROHO, USHAURI     No comments   



Sababu yenyewe ni hii, MIMI NI KIVULI CHA MIMI. Je mimi niko wapi?

Ni eneo la kiroho ambalo kwa sasa limepuuzwa sana ambako wewe unajipata humo. Kiburi majivuno ndiyo sababu kubwa ambayo imesababisha watu mpaka leo kutouona umuhimu wa eneo hili nyeti la kiroho ambalo ni muhimu sana kwa kila mmoja.

Ilikuwa vema kila mmoja ajitambue katika maisha yake baada tu ya kuzaliwa na ndivyo tulivyozaliwa lakini tunaanza kupoteza uhalisi wetu kwa kuyaiga mambo ya dunia hii ambayo ni kivuli tu cha ukweli.

Eneo la kiroho ni eneo nyeti na la muhimu sana kwa kila mmoja, maneno matakatifu pekee ndiyo yanaweza kurudisha uhalisi wetu kwa sababu Neno la Mungu ndiyo ukweli yenyewe.

Ni muhimu kwa kila mmoja kwa nafasi hii muhimu kupokea Upendo wa Mungu kwa kusoma Neno lake ikisha ndipo tuanze kuyaishi maisha kwa misingi ya ukweli na uhalisi wa elimu ya Mungu.

Ukiishi kwa kusukuma maisha na kufikiri ya kwamba hayo ndiyo maisha yenyewe, basi maisha yako yatakosa ladha kuishi, utafika lakini ukiwa umechoka sana na kumbe maisha mazuri yalikuwepo na ukachagua uchaguzi mbovu mwenyewe kwa kibuli cha kukataa kujifunza.

Maisha ni kama maji ya mto yanayotiririka kutoka kwenye mlima kwenda kwenye mteremko kwa yule ambaye tayari anaukubali upendo na Neno la Mungu.

Kwa bahati mbaya eneo hili la kiroho limekosa ladha kwa sababu ya watu wa kiroho ambao wanahudhulia kwenye maeneo ya ibada kwa kutafuta tamaa zao wenyewe na kuharibu sifa ya Neno la Mungu. Wamefanya sehemu hii kuwa kama sehemu yakujipatia faida na kutatua matatizo ya kidunia kumbe eneo hili ni kwajili ya kujitambua na kuuona uhalisi wako na kuishi maisha yenye maana.

Kila hatua, kila sehemu, kila wakati unaposogea mahali, unasogea ukiwa unatambua ya kwamba wewe ni nani na unanafasi gani katika dunia hii na unapaswa kufanya nini.

Eneo la kujifunza, kwanza kutafakari maisha yako na mazingira yanayokuzunguka, pili kusoma Neno la Mungu na tatu kujifunza kutoka kwa wengine kwa kusoma vitabu vyao na kuwasikiliza wengine ni jambo la muhimu sana.

Ni vema ukajitambua, harafu unafanya ukiwa unajitambua unafanya nini.

Kwa bahati mbaya wengi wanamiliki kivuli cha ukweli harafu wanaamini huo ndio ukweli wenyewe na hawapo tayari kujishusha ili kujifunza.

Ukishika kitu kama hutoachia kamwe hutoshika chochote mpaka uachie ulichoshika.

Rafiki, tafuta uhalisi wako kwa kusoma Neno la Mungu harafu ishi maisha.

Kama bado hujapokea Upendo wa Mungu maana upendo tayari upo lakini wewe unapaswa kupokea Upendo wake tu. Zipo kanuni za kuupokea upendo wa Mungu, na kwa bahati mbaya Wakristo wengi kutokana na tabia za kiitikadi na ushabiki wameshindwa kupokea wokovu.

Naandika Kitabu ambacho nimeelezea kwa kina juu ya maisha ya Wakristo na kupokea  wokovu kutoka kwa Mungu. Huwezi kuishi sawasawa kama unaishi bila kutambua nafasi yako wewe ni nani.

Kaa mkao wa kula kwa ajili ya kitabu hichi naamini kitakusaidia.
Mungu awe nawe.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ▼  July (12)
      • Injili Ya Maji Na Roho [SEHEMU YA PILI]
      • Maneno Matatu Ambayo Yanapaswa Kudumu Katika Maish...
      • Neno La Pekee Ambalo Hunijaza Furaha Wakati Wote
      • Injili Ya Maji Na Roho.
      • Kumpa Nafasi Mungu Atawale Kila Eneo La Maisha Yako.
      • Mungu Anakuona Kila Kitu Unachofanya.
      • Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.
      • Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe
      • Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.
      • Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu...
      • Tafuta Mtu Huyu Popote Alipo.
      • Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates