JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, July 6, 2018

Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.

 Sadick Kilasi     July 06, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   



Ni ukweli usio pingika ya kwamba kila siku huwa tunafanya machaguo fulani. Tumekuwa tukifanya machaguo kuanzia asubuhi mpaka jioni. Kwa kweli wakati kwetu imekuwa chaguo tu.

Wakati mwingine tumekuwa tunafanya chaguo bila sisi wenyewe kutambua kwamba tunafanya chaguo na ndio maana muda mwigi tumejikuta tunastukia maisha yetu.

Ni ukweli usipingika kwamba chaguo ulilofanya dakika chache zilizopita ndizo zimekufanya usome makala hii wakati huu. Na kwa jinsi ambavyo utafanya chaguo zuri wakati huu ndivyo utakavyopata majibu mazuri wakati ujao.

Na kama ukifanya machaguo mabaya wakati huu ndivyo matokeo yatakavyokuwa wakati ujao. Ni vema ukatumia hekima wakati unafanya chaguo ili likuletee faida wakati ujao.

Kuna mambo mawili ya kuzingatia wakati unafanya chaguo, wakati wa kufanya chaguo.

1. Chaguo liwe la kukujenga wewe mwenyewe. Ni wakati ambapo tunaamka asubuhi kutaka kufanya jambo fulani lakini asubuhi huwa kunakuwaga na usingizi mzuri ambao huwa unaleta changamoto kidogo, muda mwingine unaweza kuharibu siku yako kwa sababu ya usingizi wa asubuhi. Ni vema tujinyime burudani ya muda mfupi ili tufanye jambo la maana katika maisha na tuje tufurahi kwa muda mrefu zaidi katika maisha yetu. Yesu Kristo amekuwa mfano kwetu, aliacha makao yake huko ya kifalme na kuteseka katika dunia ili jina lake litukuke na ndilo jina liyashindalo majina yote. Binafsi wewe leo hii unaweza kufanya chaguo ambalo hutojuta katika maisha yako yote lakini pia unaweza kufanya chaguo ambalo linaweza kufanya majuto katika maisha yako yote. Ni vema ukawa na hekima na uamuzi ilio mwema katika kufanya machaguo yako binafsi. Je umempa Mungu maisha yako? Je umezaliwa upya katika injili ya maji na damu? Kama hujafanya hivo ni vema ukafanya chaguo lililo sahihi sasa.

Jifunze kotoka;
1Yohana 5:9.
Chaguo lililo sahihi ni lile linalokupa furaha katika maisha wakati wote na siyo burudani au starehe ya muda tu.

2. Chaguo lisiwe la kibinafsi. Unapofanya chaguo hakikisha kwamba huwaumizi wengine. Ni vema chaguo lako lile la kuwajenga wengine na sio kuwabomoa. Wakati mwingine huwa tunakuwepo kwenye chaguo la kuwambia watu ukweli au kuto wambia, tunashindwa kuwambia watu ukweli kwa sababu tunaogopa kuwaumiza. Lakini ngoja nikwambie ukweli ni vema ikamwambia mtu ukweli aumie kwa muda ikisha afurahie maisha yake muda mrefu. Usifanye machaguo ya kibinafsi, kama ni maswala ya imani ni vema ukamwacha mtu akawa na uhuru wake kuliko kuhukumu jambo na kivutia kwako. Kwa mfano kwenye maswala ya vyakula, kama wewe huli usihukumu anayekula, mpe nafasi mwenzako ajisikie huru kwenye mambo kama hayo.

Jifunze kutoka;
1Wakorintho 10:24.

SOMA:Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Hali Ya Mungu.


Maisha yanahitaji kitu kimoja ujitambue wewe na utambue nafasi ya wengine katika mahusiano. Ni vema ukatumia kanuni za kibiblia kuishi vema.

Kikubwa ni furaha katika maisha, mafanikio yatakuja.

Ukawe na tafakari njema.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.

Karibu katika Group letu la SURA YA UKWELI, ili uwe karibu nasi kujifunza zaidi.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ▼  July (12)
      • Injili Ya Maji Na Roho [SEHEMU YA PILI]
      • Maneno Matatu Ambayo Yanapaswa Kudumu Katika Maish...
      • Neno La Pekee Ambalo Hunijaza Furaha Wakati Wote
      • Injili Ya Maji Na Roho.
      • Kumpa Nafasi Mungu Atawale Kila Eneo La Maisha Yako.
      • Mungu Anakuona Kila Kitu Unachofanya.
      • Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.
      • Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe
      • Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.
      • Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu...
      • Tafuta Mtu Huyu Popote Alipo.
      • Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates