JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, July 2, 2018

Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.

 Sadick Kilasi     July 02, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   



Ukiitazama mimea ambayo ipo chini ya kivuli cha mimea mikubwa mara nyingi huonekana kana kwamba inaukijani fulani. Mimea mara nyingi hupatikana kwenye mito, chini ya madaraja, chini ya miti mikubwa na sehemu nyingine yenye kivuli.

Ukiitazama kwa umakini mimea ambayo hupatikana kwenye vivuli wakati wote huwa ni ya kijani kibichi kabisa lakini huwa inahuzunisha.
Mimea hii ina woga mkubwa sana na ndiomaana inakuwa chini ya kivuli na huwa inaogopa jua kali la saa sita. Inahuzuni wakati wote, kwanza haiwezi kukua kwa sababu ipo chini ya kivuli na kamwe haiwezi kuona chakula kizuli cha mwanga wa jua kwa sababu woga wa jua la saa sita. Hunyonywa na miti mikubwa kwa sababu kwa kupewa tu kivuli tu kidogo, na mti mkubwa hufaidi chakula chote cha jua.

Mti mkubwa huendelea kukua taratibu licha ya kupigwa na jua la saa sita. Hupitia hali zote ngumu za maisha yake kwa kupigwa na mawe ya mvua, dhoruba ya upepo, ndege kutua juu yake lakini mti mkubwa mwisho hushia kuwa mti mkubwa licha ya kupitia magumu.
Mimea mdogo licha ya kuishi kwenye kivuli na kuwa wa kijani wakati wote hushia kufa mapema na kutokukua kabisa na hata siku moja hauwezi kutoa matunda yoyote.

Mpendwa msomaji, wewe ni mimea midogo au mti mkubwa?

Mungu alitupa maisha ya Uhuru kwa kila mmoja, kila mmoja anapaswa kuwa kiuongozi wa maisha yake, kila mmoja ni ufalme mkubwa sana.

Ni lazima uwe wewe mti mkubwa, usijifiche kwenye kivuli cha mti mkubwa, wewe ni mkubwa peke yako ni lazima ujitambue wewe ni nani katika maisha, ongoza sehemu yako katika maisha yako. Mungu anakupenda sana wewe kama wewe. Wewe ni kama tofari ambalo limeshikwa mkoni na fundi kwa ajili ya kujenga. Wewe ni wa kipekee katika maisha yako japo unafanana na wengine lakini wewe ni wa kipekee.

Kama ni neno la Mungu soma wewe mwenyewe, utafunuliwa wewe kama wewe. Kama mafanikio mkubwa usikubali kuwa chini ya kivuli bali wewe uwe kivuli kwa wengine.

Inashangaza kuona waumini wa makanisani, wazazi kwa watoto wao wakati wote wanataka kuwa mimea midogo tu siku zote.

Usikubali rafiki yangu, Neno la Mungu linasema kwamba ijue kweli nayo kweli itakuweka huru lakini Mimi nakuambia hakuna ukweli wa kuambiwa, na kamwe huwezi kuambiwa ukweli harafu ikisha ukweli huo ukuweke huru.
Jiunganishe na ukweli na ndipo ukweli utakuweka huru.

Jifunze kutoka: Isaya 28:9-11. Usikubali rafiki yangu, dunia inaendeshwa kwa mitazamo na hisia. Usimiliki mitazamo wala usiishi kwa hisia wakati wote.

Ukawe na wakati bora na kutafakari kwema.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ▼  July (12)
      • Injili Ya Maji Na Roho [SEHEMU YA PILI]
      • Maneno Matatu Ambayo Yanapaswa Kudumu Katika Maish...
      • Neno La Pekee Ambalo Hunijaza Furaha Wakati Wote
      • Injili Ya Maji Na Roho.
      • Kumpa Nafasi Mungu Atawale Kila Eneo La Maisha Yako.
      • Mungu Anakuona Kila Kitu Unachofanya.
      • Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.
      • Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe
      • Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.
      • Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu...
      • Tafuta Mtu Huyu Popote Alipo.
      • Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates