JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, August 3, 2018

Je Unataka Kuwa Bingwa Wa Kuwasamehe Watu?

 Sadick Kilasi     August 03, 2018     KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO     No comments   



Swali langu kwako wewe rafiki yangu na ndugu yangu, je unampango wa kuwa bingwa wa kuwa mtu wa kusamehe watu?

Ikiwa una mpango huu basi leo naomba nikuongezee mbinu ya kuwa na maisha ya msamaha kwa kila unalolipitia, haijarishi unapitia katika hali gani? Haijarishi nani kakuumiza? Haijarishi umejiumiza kiasi gani? Utasamehe.

Na mbinu yenyewe ni kusamehe kabla ya kukosewa. Ndio, unapaswa kusamehe kabla ya kukosewa.

Mtu ambaye hutoa msamaha wa ukweli ni yule ambaye hutoa msamaha kabla ya kukosewa. Ikiwa hujasamehe kabla ya kukosewa hivi utakuwa umesamehe kweli?

SOMA:Injili Ya Maji Na Roho (SEHEMU YA PILI).


Kwa yeyote ambaye anamwamini Mungu na anasoma neno la Mungu nadhani unatambua kwamba, Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae ili kila mtu amwaminiye apate kuokolewa. Ni wazi na ni kweli kwamba miaka 2000 iliyopita hakuna mtu ambaye alikuwa amezaliwa tayari, tulisamehewa kabla hatujazaliwa, leo hii, kama umezaliwa upya nadhani unaamini thamani ya msamaha ambao Mungu alitusamehe kabla hata hatujazaliwa japo watu wanaoishi kwa tabia za itikadi kali za kidini huwaambia watu waombe toba, kumbe ni swala la kupokea msamaha ambao Mungu tayari ambao alisha umwaga kwetu, msamaha wa ukweli.

Hivi ndiyo ambavyo tunapaswa kuishi, samehe kabla ya kukosewa, tambua kwamba binadamu anamapungufu, kila mtu anamzigo ambao ameubeba, tunatumia lugha ambayo si uhalia wa mambo tunayofanya, tunaishi kwenye vivuli vya ukweli, ukweli ambao si ukweli halisi, kila mtu anamatatizo au mabaya yaliyolala, uwepo wako unaamsha yaliyolala. Samehe kabla ya kukosewa, tambua haya yote watu tunaishi nayo.

Kama mpango wako ni kuanza kufurahia maisha, anza kumwaga misama, kusamehe mwenyewe, jielewe kabisa kwamba wewe hujakamilika. Samehe kabla ya kukosewa.

Wewe ambaye upo kama tai, mwenye majivuno hutaki kusamehe jiandae kwa maumivu. Maana mtu ambaye huenda tu, hana utofauti na aliyesimama. Msafiri lazima atoke na kurudi. Samehe ili usamehewe. Anaye Samehe amejisamehe. Asiyesamehe hajajisamehe mwenyewe.

Je wewe huishi katika msingi wa msamaha yaani umeokolewa kwa injili ya maji na Roho? Msingi wetu wa kusamehe ni pale tuliposamehewa, hekima ya Mungu, Kristo Yesu, ndiyo tunayoishi maana hakuna anayeweza kusamehe kama hujawahi kusamehewa ila kwetu ni Mungu mwenyewe.

Rafiki yangu, kwa yeyote inamhusu kama hujazaliwa upya na kupokea hekima ya Mungu basi unapaswa kuipokea. Hapa sizungumzii dini ila kuishi maisha yenye maana yaliyojaa furaha na hekima ya Mungu maana Ukristo sio dini kama wengi wanavyodhani bali ni maisha. Ila watu wamefanya Ukristo kuwa dini. Wewe rafiki unapaswa kufurahia maisha na ndiomaana nimeandika kitabu cha MAISHA NA UKRISTO, jipatie kitabu hiki bure kabisa. Nitumie ujumbe nikutumie kitabu hichi kwenye simu yako.

Samehe kabla ya kukosewa.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ▼  August (7)
      • Nguvu Mbili Ambazo Hutawala Katika Ulimwengu Huu.
      • Kama Unayo Leo.
      • Katika Shamba La Mabomu
      • Namkumbuka Babu Yangu Babu Yangu Ni Shujaa Wangu.
      • Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.
      • Ona Wema Kwenye Kila Jambo.
      • Je Unataka Kuwa Bingwa Wa Kuwasamehe Watu?
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates