JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, August 20, 2018

Kama Unayo Leo.

 Sadick Kilasi     August 20, 2018     No comments   




Habari Ndugu? Natumai unaendelea salama, Mungu anakupigania. Hongera kwa siku hii ya leo, leo ni siku yako ya kipekee kwako.


Kama una leo basi tambua kwamba unauwezo wa kubadilisha kabisa sura ya maisha yako hapo mbeleni.


Kama una leo basi unafursa ya kufanya makubwa ya kuweza kuchukua hatua kubwa ambazo zinaweza kubadili historia ya maisha yako kabisa.

Je wewe ni mfungwa kwa jambo fulani lakini bado unamatumaini?

Basi Batimayo kipofu alikuwa mfungwa kwaajili ya upofu wake lakini alikuwa na matumaini na aliitumia vizuri leo yake akaponywa.


Mwanamke aliyetokwa na damu kwa miaka mingi na kuhangaika kwa muda mrefu lakini siku moja alimwona Yesu, akajisemea moyoni mwake nikigusa tu pindo la vazi lake nitapona. Basi mwanamke alikuwa ni mfungwa mwenye matumaini na siku moja fursa ilipojitokeza ilibadili maisha yake kabisa, alitumia leo yake vizuri.


Paulo aliyekuwa mwuwaji, alikuwa anaangamiza kanisa, leo yake moja tu ilibadili maisha yake leo hii Paulo ndiye aliyefanya kazi kubwa sana ya kutangaza injili mahali pote duniani. Ni kwasababu ya leo yake moja ilibadili kila kitu katika maisha yake.


Jifunze kutoka;
Matendo 9:1-10.

Je wewe ni mfungwa wa shughuli nyingi? Unayo leo, itumie leo vizuri, chagua mambo yanayofaa na utimize kwa ukubwa na uadilifu zaidi. Unayo leo, leo ndiyo siku yako ambayo unauhakika nayo, pale ulipo ndipo ulipo,

Fanya kwa wakati,
Kwa kuwa una wakati,
Utafika wakati,
Hutakuwa na wakati,
Wa kufanya kwa wakati.

Ndugu wawili Martha na Maliamu, walipata fursa ya kutembelewa na Yesu, Maliamu alitumia vizuri fursa na kuchagua kinachofaa akawa anasikiliza neno la uzima la Yesu lakini ndugu yake alikuwa anajishughulisha na mambo mengi huku akinung'unika kwamba kwanini ndugu yake hamsaidii! Yesu akamwbia unajihangaisha na mengi yasiyofaa, chagua linalofaa.

Jifunze kutoka;
Luka 10:38-42.


Unayo leo, kama ukiamini na kutii neno basi ni lazima maisha yako yabadilike. Leo moja tu ilibadili maisha ya Ibrahimu, kutoka kutokuwa na mtoto mpaka kuwa na watoto.


Leo yake moja iliharibu maisha ya Kaini kwa kumwua ndugu yake Abeli, kwa sababu ya wivu.

Leo yake moja tu ilibadili, siku ile ambayo Hawa alikula tunda la mti wa matunda ya mema na mabaya iliharibu maisha yake na kusababisha dhambi kuingia katika ulimwengu mzima.

Unaye "LEO" leo ndiyo siku yako, weka nanga yako kwa Mungu juu ya matumaini yako. Haijarishi unaubaya kiasi gani umezunguka maisha yako. Nataka nikuambie kitu, kama unaona ubaya mwingi umezunguka maisha yako basi upo uzuri mwingi pia ambao ukiuruhusu utazunguka maisha yako.


Kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni na watu wengi wakafa kwa sababu ya dhambi basi hivyo hivyo kwa mtu mmoja yaani Kristo watu wengi wanaokolewa kupitia yeye. Ona wema kwenye kila kitu.

Unayo leo, leo unaiendeaje?
Je leo utatumia kama siku ya kukujenga zaidi katika maisha yako?
Je leo utafanya maamuzi ya kuharibu maisha yako?
Ama leo itakuwa ni siku yako ya kama kawaida?

Unayo leo, leo ndiyo siku yako. Siku moja tu huandika historia mpya ya maisha ya MTU, haijarishi ilichokifanya kinaleta picha gani katika jamii, maamuzi utakayochukua ndiyo yatakayoandikwa katika historia.


Leo, leo mimi nakupa kitabu bure kanisa kama unataka kununua ni sawa nami nitakushukuru kwa shukrani yoyote ile ambayo utanipa ili mradi uhitaji kitabu. Kitabu cha UKRISTO NA MAISHA, kitabu ambacho kinaweza kubadili leo yako na kuelekea katika hatua nyingine.

Leo, leo ni ya kwako.
Wewe ni zawadi Yangu.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.


Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.

Tuma ujumbe.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ▼  August (7)
      • Nguvu Mbili Ambazo Hutawala Katika Ulimwengu Huu.
      • Kama Unayo Leo.
      • Katika Shamba La Mabomu
      • Namkumbuka Babu Yangu Babu Yangu Ni Shujaa Wangu.
      • Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.
      • Ona Wema Kwenye Kila Jambo.
      • Je Unataka Kuwa Bingwa Wa Kuwasamehe Watu?
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates