JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, July 8, 2019

Rhodes Ya Kaskazini Na Kusini Na Siri Yake

 Sadick Kilasi     July 08, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Rhodes Ya Kaskazini Na Kusini Yaani Zambia Na Zimbabwe Na Nini Maana Yake.

Ukizungumza Rhodes ya kusini na kaskazini, utakuwa unazungumzia matuo ya Wingereza wakati wa mkoloni.

Na ukizungumzia Wingereza, wakati wa mkoloni Afrika Mashariki tayari unagusia utendaji wa kiinjili ambao Mungu aliufanya kwa hekima nyingi kwa kufanya kama hazina katika nchi zote za Afrika Mashariki.

Lakini pia huwezi kuzungumzia Rhodes hizi  bila kutaja Zambia ambayo ilikuwa ni Rhodes ya kaskazini na Zimbabwe ambayo ilikuwa Rdodes ya kusini.

Lakini pia huwezi kuzungumzia Rhodes hizi bila kumtaja mwanzirishi wake ambaye anaitwa Cecil John Rhodes.

Lakini pia ni vema sana kuyajua maporomoko ya Victoria katika habari ya mambo haya.

Mungu mwenye nguvu hufanya hekima zake kwa hekima nyingi lakini pia humtumia mtu kama chombo cha kufichua hekima hizo. Kilichofungwa na Mungu, Mungu atafanya kwa wakati na makusudi yake.

Lakini ili uichambue vema Rhodes ya kaskazini na ya kusini inakubidi utumie njia, kwa sababu hata utendaji kazi wa nchi hizi mbili ni utendaji wa injili na injili ni njia ambayo ipo wazi.

Unapozungumzia Rhodes hizi unazungumzia utendaji wa kurutubisha ardhi ambayo imekosa rutuba. Lakini nisingependa kuchambua sana juu ya rutuba na kinyesi kwa sababu hayo nimeyaeleza sana katika sehemu za uchambuzi katika nchi husika, hapa najumuisha utendaji wa kiujumla.

Basi tutatumia mstari mmoja kufafanua haya yote, naam, tutatumia mstari kutoka katika kitabu cha Yohana.

Yohana 13:13, Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vyema, maana ndivyo nilivyo.

Tazama, Rhodes ya kaskazini ni Mwalimu, na, Rhodes ya kusini ni bwana, kwa mifano yake. Lakini Na, ni kama maporomoko ya Victoria.

Basi, mambo haya hunenwa kwa mifanano. Rhodes ni kinyesi kwa ujumla. Hapa kinyesi kinafanya kazi moja kwa moja baada ya mtu kujisaidia. Sehemu hiyo mimea ya karibu itastawi vema kwa kupata kitu kipya na nguvu ya harufu yake.

Rhodes ya kaskazini ni Mwalimu katika utendaji wa injili ya moja kwa moja kwa mkao. Huu ni mkao wa utayari ambao unajiendesha kiroho. Kwa hiyo, unakuwa unamwadhili mtu bila yeye mwenyewe kujijua ama akajijua baada ya ishara kutokea kwake. Lakini wewe unakuwa unajua kinachoendelea. Lakini hata wewe unakuwa unaendeshwa si kwa uwezo wako wewe bali Mungu mwenyewe maana wewe ni kitume uliyetumwa. Lakini sisemi kwamba unakuwa huelewi kabisa, bali nasema kwamba mambo yote unakuwa unafanya kama mtumwa wa Mungu kama Yesu alivyokuwa anafanya kwa kukaa na watu ambao Mafarisayo walikuwa hawakai nao.


Haya, Hapa mfano wake ni maporomoko ya Victoria, hiyo, NA.  Hapa ni jinsi ya kuchukuliana na wengine kimchakato. Kwa sababu neno Victoria tulisema kuwa maana yake ni shibana ama shinda. Kuchukuliana kwa umoja katika utofauti. Na, ni kiunganishi cha utofauti. Kwa hiyo, huu nao ni Ualimu ambao mtu anaelewa kuwa mimi najiona kupitia wengine, kwa hiyo anakuwa tayari kuchukuliana akijua kuwa sisi ni watoto wadogo tunaohitaji msaada.

Wakati huu kile kinyesi chetu kinakuwa kinavunjikavunjika na kushuka chini ya ardhi lakini mchakato unapokuwa unaendelea kuna baadhi ya mimea itapokea rutuba. Mfano wake ni, mtoto anapokuwa anachapwa fimbo ni kiwango kidogo kinachoweza kumsaidia kukumbuka na kuacha tabia fulani kwa sababu ya woga wa kimchakato.

Na, ni Ualimu mdogo na hufanya kazi kwa umakini sana.


Basi, Bwana ni umiliki wa mambo mengi. Hapa Waalimu wanaenda kujihifadhi chini kabisa. Rhodes ya kusini, ama nchi ya Zimbabwe katika formula yetu ya utendaji.
Nchi ya Zimbabwe ni nchi inayisifika kwa madini, lakini pia ni nchi ambayo imeendeshwa kidicteta kwa muda mrefu, yote haya ni kwa sababu ya habari ya tabia na asili ambazo Mungu mwenye hekima alifanya ili yapate kutimia na kutimiza lengo.

Sasa hapa sisi Waafrika Mashariki ndio watunzaji wa mambo ya kale, ndio, sisi tunatunza kihistoria kwa desturi zetu.

Hapa ndipo ambapo mfano wake ni Ubongo wako wa nyuma unavyohifadhi mambo yote ambayo umepitia katika maisha. Hapa tunazungumzia asili na mambo ya kale. Kristo Yesu ndiye Bwana wa yote, yeye ndiye wa milele.

Basi, mfano wake hayo ni maandishi haya unayosoma, yanauwezekano wa kujihifadhi muda mrefu na mtu wa baadae kabisa akasoma. Vipo vitu vingi ambavyo mtu anaweza kujifunza kutoka katika asili na hata katika mwili wake akapata maana ya maneno mbakimbali kupitia viungo vya mwili wake.

Neno la Mungu ni mwili wa Kristo, tunalisoma hilo.  Mwili wetu sisi ni hekalu la Kristo, basi, mwili wetu si wetu bali ni wa Kristo. Basi, kwa sababu hii, Kristo ndiye Bwana wa yote katika yote Amina.

Basi  ndugu zangu nimegusia mambo matatu muhimu, naam, manne, katika yote.

Rhodes ya kaskazini, maporomoko ya Victoria, Rhodes ya kusini, yote hutufunza.

Basi, mambo haya ni muhimu sana kuyaelewa,  Mungu mwenyewe ndiye amefanya, kwani kwa haya Yesu aliinesha  mfano kwa kuwambia wanafunzi wake wawape chakula watu elfu tano.

Sadick Lazaro Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.t
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ▼  July (8)
      • Hii Ndio Siri Ya Rhodesia Ya Kaskazini Na Kusini K...
      • Rhodes Ya Kaskazini Na Kusini Na Siri Yake
      • Hii Ndio Hofu Ya Kweli.
      • Talanta Yako
      • Hivi Ndivyo Wewe Unaweza Kutafsiri Neno La Mungu.
      • Falsafa Za Asili (Songa Ugali).
      • Huu Ndio Mji Tulivu Uliojificha.
      • Kaa Sehemu Yako.
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates