JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, July 6, 2019

Hivi Ndivyo Wewe Unaweza Kutafsiri Neno La Mungu.

 Sadick Kilasi     July 06, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Hivi Ndivyo Wewe Unaweza Kutafsiri Neno La Mungu.

Mungu kwa upendo wake ametupa Roho Mtakatifu kwa njia ya Kristo Yesu awe msaidizi wetu katika yale ambayo tunayafanya.

Roho Mtakatifu ni msaidizi wetu katika yale ambayo tunayafanya yanayomtukuza Kristo Yesu.

Lakini pia katika hayo hayo tunayoyafanya kuna sehemu kubwa ambayo sisi kama sisi tunapaswa kuhusika na kuwekeza nguvu zetu na Roho Mtakatifu anahusika zaidi kwenye hayo hayo kwa pamoja.

Kwa hiyo, kuna uwekezaji fulani ambao mtu anapaswa kufanya  naye Kristo Yesu kupitia Roho Mtakatifu atamsaidia mtu huyo kuhakikisha anafikia kusudi.

Marko 8:22, Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse. Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate ya macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu? Akatazama juu, akasema,  Naona watu kama miti, inakwenda. Ndipo akaweka tena mikono yake juu ya macho yake, naye akatazama sana; akawa mzima, akaona vyote wazi wazi. Akampeleka nyumbani kwake akamwambia hata kijijini usiingie.

Kwa hiyo, hapa tunaona kuwa kuna sehemu ambayo kipofu ikimbidi ahusike kwa kutazama sana ili apate kuona wazi wazi. Ingawa Yesu alikuwa anamsaidia lakini hata yeye kipofu alijitaidi kuhusika katika kutenda na kuona uhalisi wa mambo.

Sasa, Leo,  katika injili ya Kristo Yesu, nitakupa njia ya kufasiri neno la Mungu, ambayo ni njia ya injili yenyewe ya Maji na Roho.

Zaburi 1:1, Heri mtu yule asiyekwenda  Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

Mtu, asiyekwenda, asiyesimama wala kuketi; kwa mchakato huu kila neno hufasiliwa.

Kwa hiyo, njia hii ndio njia ambayo kila neno hufasiliwa. Tunasoma vitabu vingi sana lakini maneno yote ya kwenye vitabu tunayosoma huhifadhiwa  kwa njia hii.

Katika neno la Mungu, neno la Mungu limeandikwa kwa njia, tofauti na vitabu vingine vya kawaida.

Hiyo ndiyo siri ya kufasiri neno, naam, hiyo njia ndio njia kutafsiri neno. Mara nyingi hiki huwa ni kipawa ambacho mtu anawekewa ndani yake ili kuwasaidia wengine.

Kwa njia hii kila neno ambalo utasoma na kusikia utatambua ni sehemu gani ambayo unapaswa kulihifadhi neno hilo.

Baadae maneno hayo huvunjwavunjwa ili yatumike sawasawa na inavyopaswa. Na Roho Mtakatifu ndiye humsaidia mtu katika kunena hayo.

Kwa hiyo, chukua hatua leo ya kuongeza talanta hii nawe utaona wazi wazi.

Mungu akubariki, hiyo ni zawadi yako. Amina.

Sadick Lazaro Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ▼  July (8)
      • Hii Ndio Siri Ya Rhodesia Ya Kaskazini Na Kusini K...
      • Rhodes Ya Kaskazini Na Kusini Na Siri Yake
      • Hii Ndio Hofu Ya Kweli.
      • Talanta Yako
      • Hivi Ndivyo Wewe Unaweza Kutafsiri Neno La Mungu.
      • Falsafa Za Asili (Songa Ugali).
      • Huu Ndio Mji Tulivu Uliojificha.
      • Kaa Sehemu Yako.
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates