Template ni nini hasa? Template ni mwonekano wa blogu na mpangilio wa makala katika blogu yako.
Kwa kawaida blogu za blogger huwa zinakuwa na template za bure na zinazouzwa. Wakati unafungua blogu yako huwa kunakuwaga na template ambazo huwa zipo hapohapo ambazo hazihitaji kudownloudiwa wala kununuliwa. Template hizi huwa zinakuwaga hazina mwonekano mzuri sana.
Kama wewe upo makini na biashara yako lazima utahitaji template ambazo ni nzuri na zenye mwonekano mzuri unao vutia.
hizi ndizo hatua kwa hatua namana ya kuweka template kwenye blogu ya blogger kama hii ya jikolaushauri.bogspot.com. Nifatilie hatua kwa hatua ili uwe na uwezo wa kuweka template kwenye blogu yako.
1.Kwanza fungua browser yako kisha search xml template
2.Kisha baada ya hapo anza kutafuta zilizoandikwa free blo template.
3.Kisha baada ya hapo tafuta na uichague template unayotaka kisha ichague.
4.Mara baada ya hapo bonyeza mahala palipoandikwa [view demo] ili kuichulia
5. Kama umelidhishwa na teplate hiyo basi bonyeza mahali palipoandikwa download
6. Mara baada ya hapo hifadhi faili la hilo
7.Mara baada y a hapo kungua hilo faili
8.Ikifunguka faili tafuta faili lililo na mwisho huu [xml]
9.Ikisha likopy na liweke kwenye desktop
10.Ikisha baada ya hapo log in kwenye blogu yako na fungua dashboard ya blogu yako.
11.Baada ya hapo shuka mpaka chini palipoandikwa theme na ufungue
12.Kisha uchague kitufe cha BACKUP/RESTORE kipo juu kabisa
13.Baada ya hapo itakuja window yenye option tatu unachotakiwa kufanya ni kubonyeza mandishi yaliyoandikwa CHOOOSE FILE
14.Baada ya hapo itakuja window ya kuchagua mafile kinachotakiwa kufanya ni kuchagua location sahihi na uchague file lilile la xml
15.Baada ya hapo upload file lako ns kisha savechange.
Kwa mchakato huo basi tayari utakua umesha badili templte yako kwenye blogu yako. Kama unataka kuangalia mabadiliko yako bonyeza sehemu iliyoandikwa VIEW MY BLOGili kuona.
Mpendwa msomaji blogu ni kitu cha muhimu sana hasa kwa kipindi hichi cha mapinduzi ya internet.
Kama wewe unafanya biashara yoyote ili na hauna blogu sawa sawa na kufungia biashara yako chumbani kwako.
Kupata blogu tuwasiliane kwa 068700768 tuma ujumbe whatsap nitakujibu.
Wako Sadick Kilasi
sadikila65@gmail.com

0 comments:
Post a Comment