JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, September 25, 2017

Namna ya kuweka template kwenye blogu yako

 Sadick Kilasi     September 25, 2017     BIASHARA, USHAURI     No comments   

Uhali gani mpendwa msomaji wa blogu yetu ya JIKO LA USHAURI? Natumai umuzima na unaendelea vizuri. Hongera kwako kwa siku nyingine ya leo na nakuarika leo katika mafunzo ya leo ya jinsi ya kuupload template kwenye blogu yako.

Template ni nini hasa? Template ni mwonekano wa blogu na mpangilio wa makala katika blogu yako.

Kwa kawaida blogu za blogger huwa zinakuwa na template za bure na zinazouzwa. Wakati unafungua blogu yako huwa kunakuwaga na template ambazo huwa zipo hapohapo ambazo hazihitaji kudownloudiwa wala kununuliwa. Template hizi huwa zinakuwaga hazina mwonekano mzuri sana.

Kama wewe upo makini na biashara yako lazima utahitaji template ambazo ni nzuri na zenye mwonekano mzuri unao vutia.

hizi ndizo hatua kwa hatua namana ya kuweka template kwenye blogu ya blogger kama hii ya jikolaushauri.bogspot.com. Nifatilie hatua kwa hatua ili uwe na uwezo wa kuweka template kwenye blogu yako.

1.Kwanza fungua browser yako kisha search xml template

2.Kisha baada ya hapo anza kutafuta zilizoandikwa free blo template.

3.Kisha baada ya hapo tafuta na uichague template unayotaka kisha ichague.

4.Mara baada ya hapo bonyeza mahala palipoandikwa [view demo] ili kuichulia

5. Kama umelidhishwa na teplate hiyo basi bonyeza mahali palipoandikwa download

6. Mara baada ya hapo hifadhi faili la hilo

7.Mara baada y a hapo kungua hilo faili

8.Ikifunguka faili tafuta faili lililo na mwisho huu  [xml]

9.Ikisha likopy na liweke kwenye desktop

10.Ikisha baada ya hapo log in kwenye blogu yako na fungua dashboard ya blogu yako.

11.Baada ya hapo shuka mpaka chini palipoandikwa theme na ufungue

12.Kisha uchague kitufe cha BACKUP/RESTORE kipo juu kabisa

13.Baada ya hapo itakuja window yenye option tatu unachotakiwa kufanya ni kubonyeza mandishi yaliyoandikwa CHOOOSE FILE

14.Baada ya hapo itakuja window ya kuchagua mafile kinachotakiwa kufanya ni kuchagua location sahihi na uchague file lilile la xml

15.Baada ya hapo upload file lako ns kisha savechange.

Kwa mchakato huo basi tayari utakua umesha badili templte yako kwenye blogu yako. Kama unataka kuangalia mabadiliko yako bonyeza sehemu iliyoandikwa VIEW MY BLOGili kuona.

Mpendwa msomaji blogu ni kitu cha muhimu sana hasa kwa kipindi hichi cha mapinduzi ya internet.
Kama wewe unafanya biashara yoyote ili na hauna blogu sawa sawa na kufungia biashara yako chumbani kwako.

 Kupata blogu tuwasiliane kwa 068700768 tuma ujumbe whatsap nitakujibu.
Wako Sadick Kilasi
sadikila65@gmail.com

  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (11)
      • Hofu kubwa ulionayo inasababishwa na mambo haya
      • Namna ya kuweka template kwenye blogu yako
      • Mbona yote hayo ni ubatili mtupu
      • Jiulize maswali haya manne yatakupa majibu ya mais...
      • Hii ndio misingi minne ya mafanikio, ukitumia misi...
      • Kwanini unaacha ushahidi wako unapotea bila sababu...
      • Fanya mambo haya manne ili hujenga mahusiano bora ...
      • Kama huna mtaji hii ndio biashara nzuri ya kufanya...
      • Hawa ndio maadui wakubwa sana wa mafanikio katika ...
      • Hii ndio kanuni moja kuu ya mafanikio ni ;
      • Chanzo cha kufanikiwa ni kujipanga
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates