JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, September 21, 2017

Kwanini unaacha ushahidi wako unapotea bila sababu? Weka ushahidi wako hapa hauta potea kamwe.

 Sadick Kilasi     September 21, 2017     BIASHARA, KUPATA BLOGU, NJOZI, PATA BLOGU, USHAURI     No comments   

Katika vipindi ambavyo watu wanaandika sana basi zama hizi za mapinduzi ya internet watu wanaandika sana. Kuwepo kwa mitandao ya kijamii kama facebook, twitter, whatsap, tango, istagram na mingineyo imesababisha na kuwapa ulahisi wa kuandika na kupost video na picha mbalimbali.

Lakini uandishi wa kwenye mitandao ya kijamii umekuwa hauna mfumo mzuri wa kuhifadhi maandishi, mtu anaweza kuandika leo halafu kesho asijue aliandika nini kutokana na uandishi usio na mpangilio. Watu wamekua wakishindwa kutengeneza jukwaa vizuri kwenye mitandao ya kijamii kutokana na mwingiliano wa watu wengi.

Sasa rafiki yangu ushahidi unao acha unapotea bure, weka ushahidi wako mahala salama. Yaani hayo maandishi mazuri unayoandika kwaajiri ya marafiki zako yanapotea bure baadae utaonekana kama hujawahi kuandika, na marafiki zako pia hawakujui nyumbani kwako wapeleke kwako hapo kwenye mitandao ya kijamii ni sehemu tuu ya kupigia sog tu [kijiwe], sasa wapeleke kwako wapajue.

Kivipi? kuwa na BLOGU, ambako kutakuwa ndo nyumbani kwako harafu kijiweni kwenye mitandao ya kijamii. Miliki blogu yako kama hii ambayo utatumia kuandika na kufanya maandishi yako kuwa salama na yenye mpangilio mzuri. Blogu hiyo itakuwa ni yako ambayo utakua unaandika kila siku na kuwaarika marafiki wakutembelee kwako kwenye blogu yako.

Faida za blogu;
1.Unapata wateja kiurahisi kutokana na shughuli unayofanya.
2.Utatangaza biashara yako kwa bei nafuu
3.Utawaliwaza watembeleaji wa blogu yako wakati fulani wakiwa hawana mambo ya kufanya watatembelea na kujifunza kwenye blogu yako.
4.Blandi yako ni rahisi kukumbukwa na watembeleaji wako tofauti na kwenye mitandao ya kijamii.

Hizo ni moja ya sababu chache kati ya nyingi kwanini wewe uwe na blogu yako. Acha alama mahali sahihi  na blogu ndo mahali sahihi pa kuandika wewe rafiki yangu.

Kupata blogu tuwasiliane kwa kutuma ujumbe whatsapp 068700768 au piga 0659639168.
Wako Sadick Kilasi.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (11)
      • Hofu kubwa ulionayo inasababishwa na mambo haya
      • Namna ya kuweka template kwenye blogu yako
      • Mbona yote hayo ni ubatili mtupu
      • Jiulize maswali haya manne yatakupa majibu ya mais...
      • Hii ndio misingi minne ya mafanikio, ukitumia misi...
      • Kwanini unaacha ushahidi wako unapotea bila sababu...
      • Fanya mambo haya manne ili hujenga mahusiano bora ...
      • Kama huna mtaji hii ndio biashara nzuri ya kufanya...
      • Hawa ndio maadui wakubwa sana wa mafanikio katika ...
      • Hii ndio kanuni moja kuu ya mafanikio ni ;
      • Chanzo cha kufanikiwa ni kujipanga
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates