JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, September 19, 2017

Kama huna mtaji hii ndio biashara nzuri ya kufanya [biashara ya mtandao]

 Sadick Kilasi     September 19, 2017     UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ipo mifumo mingi sana ya biashara, lakini watu wengi wanautambua mfumo mmoja ambao ni wa uchuuzi. Kwenye mfumo wa uchuuzi mtu ananunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya juu zaidi ili apate faida. Biashara hii ni ya kawaida, kila mmmoja anatambua. Mfumo huu umeanza kutumika toka enzi na enze za mababu zetu wa kale.

Lakini dunia inabadirika, sasa hivi kuna mifumo mingi ya biashara. Biashara ya mtandao [NETWORK MARKETING] ni mfumo wa biashara ambao ulianza miaka mingi kidogo huko lakini kwa nchi zetu mfumo huu wa biashara haujulikani sana na haujashamiri kwa kiasi kikubwa.

Kuwepo kwa biashara hii ya network marketing yaani biashara ya mtandao wengi huzani hii ni biashara ya mtandao wa simu na wengine huwa na mitazamo tofauti na kusema biashara ya mafreemason na ndio maana nimeamua niandike makala hii ili kukupa maana halisi ya biashara ya mtandao.

Biashara ya mtandao ni biashara ambayo inatumia mfumo wa bidhaa kutoka kiwandani na kwenda kumlenga mteja moja kwa moja kwa kupitia stoo tu ambako bidhaa huhifadhiwa. Inaitwa biashara ya mtandao kwa sababu mteja anaponunua bidhaa ili kutatua matatizo yake anaambiwa awaambie na wengine wanunue ile bidhaa na atalipwa kamisheni yake kutokana na kununua ile bidhaa na watu aliowaarika wanunue ile bidhaa, ila atafanya hivo endapo atafurahishwa na huduma yao na bidhaa ilivyomsaidia.

Biashara hii ni nzuri sana kwa wale ambao hawana uwezo wa kuanza biashara kwa mtaji na pango la biashara. Mara nyingi kiingilio cha kujiunga huwa kinatofautiana kampuni na kampuni zingine huwa inakuwa bure au kiasi kidogo sana.

Biashara hii ni nzuri sana maana unaingiza kipato masaa 24 na huhitaji kulipia pango wala mtaji wa biashara lakini pia uzuri wake ni kufanya kazi mda mdogo na kipato chake ni endelevu kisicho na kikomo, kikubwa ni kuwaambia watu jinsi bidhaa ulio tumia ilivyokusaidia ili nao watatue changamoto zao zinazofanana na yako.

Lakini pamoja na uzuri wa biashara hii kuna changamoto zake ambazo huwa ni uchaguzi wa kampuni, ipi ina kamisheni nzuri na pia kumekuwepo na makampuni ya kitapeli ambayo yanajificha chini ya biashara hii ya mtandao ili kutapeli watu. Kuna namna ya kujua ipi ni kampuni sahihi na ipi ya kitapeli.

Rafiki yangu kama wewe upo kwenye biashara hii na unataka kukuza biashara yako tuwasiliane au kama unataka kuanza biashara hii tuwasiliane pia.

Kama umefurahishwa na makala hii unaweza kutoa maoni yako hapo chini pia unaweza kujinga nasi kwa email. Endeleamkutembelea JIKO LA USHAURI kuhusu biashara hii na mambo mengine mazuri kwaajili yako rafiki.

Pata blogu yako sasa 0659639168 tuma ujumbe wasapu natakujibu.
Wako rafiki Sadick Kilasi
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (11)
      • Hofu kubwa ulionayo inasababishwa na mambo haya
      • Namna ya kuweka template kwenye blogu yako
      • Mbona yote hayo ni ubatili mtupu
      • Jiulize maswali haya manne yatakupa majibu ya mais...
      • Hii ndio misingi minne ya mafanikio, ukitumia misi...
      • Kwanini unaacha ushahidi wako unapotea bila sababu...
      • Fanya mambo haya manne ili hujenga mahusiano bora ...
      • Kama huna mtaji hii ndio biashara nzuri ya kufanya...
      • Hawa ndio maadui wakubwa sana wa mafanikio katika ...
      • Hii ndio kanuni moja kuu ya mafanikio ni ;
      • Chanzo cha kufanikiwa ni kujipanga
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates