JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, January 1, 2019

Falsafa Ya Asili Na Jinsi Ya Kuishi Maisha Yenye Maana.

 Sadick Kilasi     January 01, 2019     No comments   

Falsafa Ya Asili Na Jinsi Ya Kuishi Maisha Yenye Maana.

 Falsafa ni nini? Ni jaribio la kutaka kuelewa  ulimwengu kwa kutumia hoja zinazoeleweka. Ni muhimu sana kuyaelewa mazingira ambayo tunaishi ili kuwa na utambuzi nayo. Kwani dunia hii imeumbwa na Mwenyezi Mungu na alitunga kanuni zake ambazo ndizo zitaendesha Ulimwengu. Kuishi maisha yenye maana ni kuelewa ulimwengu na formula zake.

Matawi ya Falsafa.
Yapo matawi manne ya Falsafa kulingana na vipengele vyake.

1. Elimu ya kutafakari mazingira kwa kutumia dhana mbalimbali zenye mfululizo mfanano.  Hapa tuangalia formula mbalimbali za mental modal.

2. Elimu ya kutenda mema. Watu wengi tumekuwa tunashindwa kuishi maisha ambayo yanaeleweka si kwa sababu hatuwezi ila ni kwa sababu hatutambui Elimu juu ya maadili. Hata kama tunatambua bado tunakuwa hatujui kwani Elimu ya kutenda mema inakuwa haijajaa ndani mwetu kwahiyo ubaya unakuwa unanguvu kubwa kuliko wema. Kwa hiyo kwa kujifunza elimu hii tutapunguza ubinafsi na kijaribu kuishi maadili ya kufaa.

3. Elimu ya kutaka kuitambua asili kwa undani. Tunaishi katika Ulimwengu ambao ni asili, asili ambayo hubadilika, kwa kujifunza hili tutapata kuelewa uhalisia wa jambo uko wapi badala ya kupambana na asili ambayo hubadilika.

4. Elimu ya utambuzi wa mipaka. Kuna vitu vingine ambavyo hatuna ufahamu navyo kwani hatuvijui kwa sababu vipo nje ya sisi, kwa hiyo tunatumia utambuzi kiasi chetu kinaishia wapi.

Falsafa Asili
Tunatumia mazingira ambayo ni asili ili kuuelewa Ulimwengu.  Neno la Mungu ndio msingi ambao natumai kupima hoja kwani kila kitu ambacho kipo duniani Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba, utukufu ni wake. Kwa neno la Mungu ndilo litakalofanya tuipe tiki hoja yetu. Hakuna ambacho kipo, ambacho hakipo kwenye neno la Mungu.

Karibu katika kuishi na kuelewa maisha. Mwaka 2018 tuliutazama mti kwa kiasi kikubwa lakini tulielewa kwa kiasi na bado tunapaswa kuelewa zaidi na zaidi. Kwa hiyo mwaka huu tutaendeleza tulipoishia.

Lengo letu ni sisi kuishi maisha yenye maana na kurudisha utukufu kwa Mungu muumba wetu. Kwa kiasi tunafanya pale ambapo tuishia ili hata wajukuu wetu waendeleze tulilolianza.

Mimi ni mwanafunzi wa dunia mama ambayo Baba yetu na Mungu wetu ametuweka ili tuishi humu. Fungamanisho letu ni kufurahia maisha na kuacha zawadi kwa watoto wetu.

Mithali 6:20, Mwanangu, shika maagizo ya Baba yako wala usisahau sheria ya Mama yako.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ▼  January (5)
      • Jinsi Ya Kukipa Thamani Cha Karibu Yako.
      • Mimi Sijui!
      • Kitu Hiki Kimesahaurika Licha Ya Mengine Kuwepo.
      • Unachokifanya Kitaleta Matokeo
      • Falsafa Ya Asili Na Jinsi Ya Kuishi Maisha Yenye M...
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates