JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, December 25, 2017

Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama unataka kuwa mwekezaji kwenye maarifa

 Sadick Kilasi     December 25, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena rafiki yangu siku mpya, hongera kwaajili ya siku hii kwa sababu tukijali kila siku inayopita mbele yetu kupata mafanikio litakuwa sio jambo la kushangaza. Tunaishi siku moja yaliyopita yamepita na yajayo ni matarajio lakini maisha ya kweli ni sasa na ni leo, tunaishi siku moja, leo ni siku na siku moja tutakufa.

Tukitambua tunaishi siku moja tutaijali siku, tukitambua kwamba leo ni moja kati ya siku tutaidhamini sana leo na tukitambua ipo siku tutakufa basi hatuna budi kufanya kila kitu ili kutimiza wajibu wetu ili tuache alama dunia. Kwahiyo hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajili ya siku hii tulio nayo ni siku ya dhamani sana na kesho anapanga yeye.

Karibu mpendwa rafiki yangu tujifunze kwa pamoja kwewnye maada ambayo nimekuandalia leo ambayo inasema, maeneo matatuambayo unatakiwa kuwa makini kama untaka kuwa mwekezaji  wa maarifa.

Ni watu wachache sana ambao wanatambua ya kwamba tunatakiwa kuwekeza kwenye maarifa, wengi wetu tunachojua ni kuwa unatakiwa kuwekeza pesa tu au tunatambua ya pesa tu ndo huwa inawekezwa. Kama wewe ni mmoja kati ya waadhirika wa hilo basi leo tambua ya kwamba  maari yanawekezwa. Maarifa ni uwezo wa kuona unafuu ndani ya changamoto.

Tukianza kuwekeza kwenye maarifa, kwenye uwekezaji mwingiune itakuwa ni rahisi kwetu kutokana maarifa yetu. Uwezekezaji wowote ule unachangamoto zake kwahiyo kama huna maarifa utashindwa kuwekeza. Ni maeneo mengi sana tunawekeza bila ya sisi wenyewe kutambua ya kwamba hapa tunawekeza, kwa mfano; tunaishi kwenye jamii, ili niwekeze kwenye jamii inatakiwa niwe na tabia njema kwahiyo ukiwekeza tabia njema watu watakuheshimu na hata ukianzisha kitu itakuwa rahisi kwako kukuunga mkono. Yafuatayo ni maeneo matatu ambayo tunatakiwa kuwa makini nayo ili kuwekeza vizuri kwenye maarifa.

Eneo la kwanza kabisa ni usikivu wakati wa mazungumzo. Hili ni eneo ambalo tunatakiwa kuwa makini sana kwani ndilo eneo linalotumika wakati wote, watu tumekuwa wajinga kwa sababu ya kukosa usikivu yaani mtu anzungumuza na wewe unataka kuzungumza, mtu anazungumza wewe unajishikashika au unachezea simu, huko ni kukosa usikivu. Kwenye usikivu kuna mengi utajifunza haijarishi unaongea na mtu wa aina gani lakini usikivu ni wa muhimu sana.

Eneo la pili ni kujifunza kupitia changamoto. Hili ni eneo la muhimu sana kwa sababu hili ndo maana halisi ya maarifa. Tumekuwa watu wakukimbia changamoto au kuwabebesha wengine bila kujua tunatupa dhahabu. Maisha changamoto, kuishi changamoto na changamoto maisha. Mara nyingi wanaotatua changamoto sana ndio wanao fanikiwa sana. Kwahiyo rafiki yangu usikimbie changamoto hiyo ni ladha ya maisha tu.

Eneo la tatu ni kusoma vitabu au kusoma kwa ujumla. Hili ni eneo ambalo tunajifunza mengi kutoka kwa  wengine ambao sio rahisi kukutana nao sisi,wengine walisha kufa zamani, wengine wapo mbali na hali nyingine tofauti. Rafiki yangu kusoma vitabu ni kitu cha muhimu sana kwa sababu tumezaliwa kizazi hichi cha taalifa na zama hizi lakini hatujui miaka 5000 iliyopita huko nyuma yaani hatuna uelewa kabisa wahuko nyuma sasa lazima tujifunze kupitia mababu zetu walifanyaje fanyaje na sisi tujue tunafanyajefanyaje. Kwahiyotunatakiwa kuanza kusoma vitabu sasa hivi utaona mabadiliko akubwa  sana.

Haya ndiyo maeneo matatu ambayo unatakiwa kuanza nayo rafiki yangu ili kujiwekeza kwenye maarifa, japo yapo maeneo mengi lakini hayo unaweza kuanza nayo halafu baadae ukaendelea kujiendeleza kwa namna tofauti.

Karibu ujiunge na mtandao huu kwa kujaza fomu  ili kupata makala moja kwa moja kwenye emaili yako utatumiwa, pia usisahau kuwashirikisha wengine ujumbe huu na endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi. Maisha ni kuwa+fanya=pata

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates