JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, December 17, 2017

Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa karibu

 Sadick Kilasi     December 17, 2017     MAHUSIANO     No comments   

Ni siku nyingine tena rafiki yangu siku mpya kwaajiri ya kwenda kuweka kazi katika maeneo yetu ya kazi kwa misingi ya nidhamu na kujituma. Leo ni siku ya juma tatu natumai itakuwa siku bora sana kwako kwa sababu una nguvu mpya kabisa baada ya mapumziko ya wikiendi. Rafiki yangu unapokuwa unapokea siku mpya kama hii lazima uwe na shukrani kwasababu ndio nafasi ya kipekee ya wewe kuendelea kusonga mbele. Kwahiyo shukrani inakufanya uone ya kwamba unaziada ya hapo ulipo na utaendelea kusonga mbele kwa jambo unalofanya.

Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutujalia siku hii ya kipekee ambayo mimi na wewe rafiki yangu unaye soma hapa tumepewa. Bila kupoteza wakati nikukaribishe katika makala ya leo upate kujifunza yale ambayo nimekuandalia , na hichi ndicho chakula cha ubongo, twende sawa usome kwa umakini ulio makinika na sio kusoma tu.

Moja ya jambo ambalo ni la muhimu kujijengea katika maisha ya mtu ukiachana ubongo, roho yaani imani na afya basi ni mahusiano. Mahusiano yanaadhili maisha na ni jambo ambalo ni la muhimu sana katika maisha, Jambo hili halijaanzishwa na mtu bali na Mungu mwenyewe, pale Mungu alipo muumba Adam basi akamweka msaidizi wake ambaye ni Hawa. Haiba yako na tabia zako kwa kiasi kikubwa vimeathiliwa na mahusiano ya watu wanaokuzunguka.

Wastani wa watu watano ambao unaishi nao au kushinda nao ndio wamechangia haswa maisha yako kuwa hivo kwahiyo kwa namna hiyo kuna haja ya kuchagua watu sahihi wa kushirikiananao ili kujijenga vizuri kiujumla. Chukua hatu sasa kwani vitabu vya dini vimeandika usiketi balazani pa wenye mizaha. Japo kuwa unaweza kuchagua watu bora wa kushirikiana nao lakini bado unhitaji wewe mwenywe binafsi kuwa bora na kujitambua na hizi ndivyo jinsi unavotakiwa kuwa kwenye swala zima la mahusiano na watu wengine.

Tambua wewe ni wa muhimu katika jamii. Ukijitambua ya kuwa wewe ni wa muhimu katika jamii wewe mwenyewe utajisikia vizuri. Hapa sina maana ya kwamba sasa uanze kuwazalau wengine na kujiona wewe ndio wewe, sasa huo si ubinadamu, maana yangu ni kwamba kwenye umoja kuna mojamoja zaidi ya moja ambazo zinajenga umoja.

Tambua wewe ni tegemeo sio tegemezi. Ukisha jitambua ya kwamba wewe ni temeo na si tegemezi basi wewe utakuwa na msaada na jamii inayokuzunguka. Mtu anayetambua kwamba yeye ni tegemeo hawezi kubweteka hata siku moja kwahiyo jamii itakupenda kwa sababu utakuwa na msaada kwao. Utajikuta unaanzisha huduma yoyote kwenye jamii yako kwahiyo huduma ambayo ilikuwa haipo kwenye mtaa wako sasa itapatikana.

Jifunze kuwapenda watu wanao kuzunguka. Ukiipenda jamii inayo kuzunguka ni rahisi kufanya biashara palepale kwenye jamii yako. Kwa hali hiyo utajifunza ya kwamba chochote unachopata ni cha jamii kwahiyo unapaswa kuirudishia  na hivi ndivyo matajiri wenye mafanikio makubwa wanavyofanya hii inaitwa shukrani.

Nimekuonyesha hayo mambo matatu tu lakini ukweli ni kwamba yapo mambomengi sana unachotakiwa kufahamu ni kwamba unatakiwa kuwa na utu ndani yako, unatakiwa kuwajibika katika hali yoyote ile wewe ndio wewe uko peke yako watu wanakuhitaji. Falsafa ya kumpenda mtu kama hutomwona tena, ni nzuri sana kuishi nayo kwenye jamii.

Endelea kujifunza na kutembelea blogu hii ya JIKO LA USHAURI kujifunza zaidi. Usiache kujiunga na mtandao huu hakikisha unajaza fomu mahali pale palipo andikwa jiunge na mtangao huu. Jambo la msingi ambalo nakuomba kama umeupenda ujumbe huu usiache kushare kwa marafiki zako ili nao wanufaike. Asante

Wako SADICK KILASI wa jikolaushauri.blogspot.com
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates