JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, July 10, 2018

Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.

 Sadick Kilasi     July 10, 2018     KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO, TAFAKARI YA ROHO     No comments   



Ibada ya kweli imekuwa ni adimu sana toka kizazi cha babu mpaka sasa hivi wakati huu wa neema ya Kristo.

Kwa bahati mbaya wengi wa watu bado hawajaokolewa na neema hii ya Kristo. Inakuwa ngumu kwao kufanya ibada ya kweli kwa sababu hawana mahusiano yoyote na Mungu kwa sababu hawajapokea Roho Mtakatifu. Wengi wamejikuta wanafanya yasiyofaa kwa sababu bado hawajapokea upendo wa Mungu.

Kuna mambo mawili yanayolenga ibada ya kumpendeza Mungu.

1. Wasaidie wasiojiweza na walio katika vifungo. Ibada ya kweli ndo hii kuwasaidia wasio jiweza na maskini, hii ndio ibada ya kumpendeza Mungu. Watu wengi hufikiri kwamba kwa matendo yao wanaweza kumpendeza Mungu, kufanya maombi mengi mno lakini unabaki palepale kwamba hatuwezi kufanya kwa matendo yoyote juu ya Mungu. Ni vema tukawa tunawasaidia maskini na watu walio onewa, Mungu ataka tufanye mambo kama haya mbele zake. Matendo ya kuwasaidia wengine na wasio jiweza. Wengi wamekuwa kama wqfungwa wa dini maana hawaelewi wala kulitii neno la Mungu. Zamani Mungu aliwavumilia watu wake walipokuwa wanamwabudu yeye kupitia dhabahu lakini sasa ni wakati Mungu tuondoe matendo yetu mbele zake kwa sababu tunayofanya uovu mtupu.

Jifunze kutoka,
Matendo ya mitume mlango 7.
Isaya 1:10-17.
Matendo ya mitume 17:19-30.

SOMA:Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe.
2. Kumtafakari yeye na kurudisha shukrani kwake. Hii ni ibada inayolenga ibada ya kweli. Lakini kwa hakika binadamu hawezi kufanya kisawa sawa ibada ya kweli. Yatupasa kutambua nafasi yetu ili tufanye ibada inayoelekea ibada ya kweli. Ni vema kutafakari neno la Mungu na kutafakari matendo yake ya ajabu na kurudisha shukrani kwake. Ibada ya shukrani ni ibada njema mbele za Mungu na utukufu ni wake.

Mpendwa rafiki, eneo hili la kufakari hii ni ibada ya mtu binafsi na ni eneo la muhimu sana kwa mhusika. Mungu aliondoa mambo yote sikukuu na matendo yote ili watu wajitambue wao ni akina nani. Alitaka watu wamtafakari yeye wakati wote na kwa matendo yao yenye mipaka, kwamba unasubiri wakati fulani ndipo ukafanye toba. Tunapaswa kutambua kitu kimoja matendo yanamipaka na sisi tunapaswa wakati wowote tuwe tayari mbele zake.

Kitabu kinatoka karibu nimejaribu keleza mambo haya kwa upana zaidi kwa sababu ni ngumu kuelewa kwa haraka haraka. Lakini ni vema ukawa mtu wa kulitafakari neno la Mungu kuliko kuwa mwana dini.

Mambo mengi katika kanisa la sasa si ya kweli na ndio maana niwambia watu ni vema kulitii neno la Mungu kuliko kuwatii watu, kwenda kanisani kwa sababu unaogopa watu watakuuliza kwanini hujaenda au Mungu atanionaje. Nataka nikwambie kitu kimoja rafiki kabla hujawaza kwenda kanisani yeye alijua kwamba hutokwenda kanisani. Yeye alilujua kabla wewe hujajijua, yeye alikutambua kabla wewe hujajitambua. Ishi ukiwa utambua hilo. Usimwekee Mungu mipaka, hana mipaka, anaona kila mahali. Huwezi kumfanyia Mungu lolote kwa matendo yako.

Ni lipi la muhimu sasa?
Je umepokea upendo wa Mungu? Kama bado jinyenyekeze mbele zake kwa kuutambua upendo wake ambayo aliuonyesha kupitia Mwanae Yesu Kristo kwa Injili aliyoleta ya Maji na Roho. Itambue injili hii ikisha uanze kufurahia maisha kwa kuwa ndani ya Mungu.

Ukawe na tafakari njema. Tafadhali, nitumie ujumbe kwa swali lolote kuhusu upendo wa Mungu na tafadhali maoni yako ni muhimu. Nimeamua kuwekeza muda mwingi katika kuhakikisha watu wanaponywa na kuihubiri injili njema.
 Kumbuka hiki, mimi ni zawadi yako, nitumie kisawasawa na wewe ni zawadi yangu nakuhitaji sana.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.  Karibu katika Group letu la SURA YA UKWELI.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ▼  July (12)
      • Injili Ya Maji Na Roho [SEHEMU YA PILI]
      • Maneno Matatu Ambayo Yanapaswa Kudumu Katika Maish...
      • Neno La Pekee Ambalo Hunijaza Furaha Wakati Wote
      • Injili Ya Maji Na Roho.
      • Kumpa Nafasi Mungu Atawale Kila Eneo La Maisha Yako.
      • Mungu Anakuona Kila Kitu Unachofanya.
      • Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.
      • Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe
      • Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.
      • Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu...
      • Tafuta Mtu Huyu Popote Alipo.
      • Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates