JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, July 15, 2018

Injili Ya Maji Na Roho.

 Sadick Kilasi     July 15, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   



Yesu alimwambia Nikodemo Mfalisayo mtu asipozaliwa katika maji na Roho hawezi kuingia ufalme wa mbinguni. Ni lazima mtu aitambue injili ya maji na Roho kisawasawa ndipo atakapoingia katika Ufalme wa Mungu.

Na huku ndiko kuzaliwa mara ya pili katika maji na Roho, injili ambayo Yesu mwenyewe alimhubiria Nikodemo ambaye alimwendea nyakati za usiku Yesu. Nikodemo alikuwa ni mwalimu wa mafalsayo lakini hakuitambua injili hii. Japokuwa alikuwa anawafundisha watu lakini alikuwa hailewi injili hii ambayo Yesu alimhubiria.

Katika nyakati hizi wapo wengi ambao hawanauhakika kwamba wameokolewa au la. Japo wengine hujiaminisha mwenyewe kufanya wanalojisikia mwenyewe na kusema wameokoka. Wengi kumwamini Yesu bila kutambua injili hii ambayo ni ya muhimu katika kila mmoja kutambua ndipo upate kuokolewa kisawa sawa kwa utambuzi sahihi. Wengi wanabahatisha hawana uhakika kwamba wameokolewa kweli au la. Hawana uhakika na wanachofanya kwa sababu wameaminishwa na watu ambao hawajawaambia ukweli haswa. Wengine huamini katika damu pekee, nusu ya injili, kitu ambacho huwezi kuokolewa kwa namna hiyo. Kwenye neno la Mungu hupaswi kuchagua unalotaka wewe na uliamini, kwa kweli huo ni upotokwaji mkubwa sana. Wengine huenda kubatizwa katika maji mengi na wengine katika maji machache. Yote haya hutukia katika kuutafuta Ufalme wa Mungu.

Kuzaliwa upya mara ya pili kumekuwa na changamoto nyingi sana. Wengine hufikiri labda ni pale ambapo unaacha kutenda mabaya na kutenda mema ndipo tayari utakuwa umezaliwa mara ya pili. Wengine hufikiri kwa kuwekewa mikono ndipo utapewa Roho Mtakatifu. Wengine hutoa sadaka kubwa na hufikiri kwamba ipo siku watazaliwa mara ya pili.

Kuzaliwa upya mara ya pili hakuhusishi mabadiliko ya kimwili bali katika kuliamini neno la Mungu kikamilifu. Yakupasa uiamini injili ya maji na Roho ndipo utaokolewa.

Unapokuwa umezaliwa upya unakuwaje?

Kwa kweli unakuwa huna dhambi tena, unakuwa umesafishwa moyo wako na kuwa mtu mpya.
Je utahisi dhambi tena?
Hapana, hutahisi dhambi tena.

Je mtu ambaye anaenda kanisani harafu anahisi ni mwenye dhambi ameokoka? Hapana, hajazaliwa upya.

Kitu gani ambacho unapaswa kufanya mtu ambaye hajaokoka?
Ni kuiamini injili ya Yesu, injili ya maji na Roho. Je hii hutegemea matendo ya mtu, hapana, haitegemei matendo ya mtu. Kwamba, ufanye mema ili uokolewe au ufanye jambo fulani ili uokolewe, hapana.  Inategemea imani yako katika injili ya Yesu ya maji na Roho.

Tunashiriki mambo aliyofanya Yesu kwa imani na kukili mambo aliyofanya.

MAJI.
Lazima uamini kwamba Yesu, alibatizwa na Yohana, Yohana yule ambaye Mungu aliahidi kumtuma kwamba atalijia hekalu lake ghafla ambaye atakuja kutangaza habari ya ukombozi. Malaki 3:1.
Unapoamini katika ubatizo wa Yesu unakuwa unamtwisha dhambi Yesu Kristo na wewe unabaki huna dhambi. Kwa hiyo Yohana alikuwa ni mtu wa muhimu sana, ndiye aliyekuwa kuhani wetu mkuu wa kibinadamu ambaye alimtwisha dhambi Yesu, Yesu alifanyika mwana kondoo ambaye anaichukua dhambi ya ulimwengu, ilikuwa ni lazima pawepo na kuhani ambaye angemtwisha dhambi Yesu, ambaye alikuja kama mwanakondoo wa kuchukua dhambi zetu.

Hii inamaana gani?
Tujifunze kutoka Agano la Kale, Ibada ya Upatanisho.
Walawi 16:7-10.
Kisha atawatwaa wale mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Bwana mlangoni pa hema ya kukutania. Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili, kura moja ni kwaajili ya Bwana na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli. Na Haruni atamleta yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwaajili ya Bwana na kumtoa awe sadaka ya dhambi. Bali yule mbuzi aliyeangukiwa kura kwaajili ya Azazeli atawekwa hai mbele za Bwana ili kumfanyia upatanisho, ili kumpeleka jangwani kwaajili ya Azazeli.

Nini kilifuata baada ya kuwapata hao mbuzi wawili, mbuzi wa kwaajili ya Bwana na Mbuzi wa Azazeli?

Walawi 16:21.
Na Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kuungama juu yake uovu wote wa Wana wa Israeli, na makosa yao, naam, dhambi zao zote; naye ataziweka juu ya kichwa chake yule mbuzi, kisha atampeleka aende jangwani kwa mkono wa mtu aliye tayari.

Yesu alitwishwa dhambi na Yohana ambaye alimbatiza, Yohana Mbatizaji. Yohana alikuja kama kuhani wa kumtwisha dhambi Yesu na Yesu alikiwa kama mwanakondoo wa sadaka katika ubatizo yaani Azazeli. Kati ya wale wawili Yesu katika eneo la ubatizo alikiwa ni mbuzi wa Azazeli, ambaye alikiwa amewekewa mikono na Haruni na kutwisha dhambi zote za Bwana wa Israeli. Kwa hiyo Yesu alijitwisha dhambi zetu kupitia ubatizo wake alibatizwa na Yohana.

Yahana alidhibitisha hilo,
Mathayo 1:29. Aliposema, tazama mwanakondoo achukuaye dhambi ya Ulimwengu.

Ni vema ukamtwisha dhambi Yesu sasa kwa kuamini kwamba Yohana mbatizaji alimteisha dhambi Yesu, hii itakufanya wewe kuwa huna dhambi, dhambi zako hazitoki bila kuamini hivi, ni lazima uamini ubatizo wa Yesu kwamba Yohana alimbatiza katika mto Yordani na akamteisha dhambi zote za ulimwengu.

Kwa hiyo ukimtwisha Yesu dhambi unabaki wewe huna dhambi. Moyo wako unabaki hauna dhambi. Kwa imani na si matendo.

Nitaendelea kufafanua zaidi katika makala ijayo.  Kuna Maji, damu na Roho.

Maswali ni muhimu.
Asante.


  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ▼  July (12)
      • Injili Ya Maji Na Roho [SEHEMU YA PILI]
      • Maneno Matatu Ambayo Yanapaswa Kudumu Katika Maish...
      • Neno La Pekee Ambalo Hunijaza Furaha Wakati Wote
      • Injili Ya Maji Na Roho.
      • Kumpa Nafasi Mungu Atawale Kila Eneo La Maisha Yako.
      • Mungu Anakuona Kila Kitu Unachofanya.
      • Mambo Mawili Yanayolenga Ibada Ya Kweli.
      • Injili Ya Maji Na Damu Ambayo Ni Kweli Yenyewe
      • Mambo Mawili Ya Kuzingatia Wakati Wa Kufanya Chaguo.
      • Sababu Moja Kwanini Unapaswa Kusoma Neno La Mungu...
      • Tafuta Mtu Huyu Popote Alipo.
      • Mimea Midogo Chini Ya Kivuli Cha Mti Mkubwa.
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates