JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, November 21, 2017

Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa kwenye maisha

 Sadick Kilasi     November 21, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, NJOZI, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa wangu msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, natumai umeamuka salama kabisa na upo tayari kwenda kuongeza dhamani katika shughuli zako. Ni jambo la kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajili ya siku hii maana bila yeye tusingeweza sisi peke yetu. Wapo watu ambao wameshindwa kuiona siku hii ya leo kwahiyo sisi tulio iona hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kusema asante Mungu kwa ajili ya siku hii ya leo, ambayo ni siku ya kipee kwetu na tunakushukuru kwa kutusaidia kuiona siku hii ya leo tunaomba ukawe pamoja nasi katika siku hii yote na ikalete matokeo mazuri na tunaomba utusamehe makosa yetu.

Mpendwa wangu rafiki yangu karibu sana kwenye makala hii ya leo ambayo mimi rafiki yako nimekuandalia ambapo nitakuonyesha mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa kwenye maisha yako.

Kwanza naomba nikutaarifu ya kwamba sisi watu wa ngozi nyeusi hatupendi kujifunza kabisa yaani mtu kujifunza anaona ni kitu cha ajabu sana yaani tunapenda kila kitu kwetu kiwe rahisi tu kama kuangalia TV maana kuangalia sio kazi ila kazi ipo kwenye kulichukulia lile jambo ambalo umeliangalia yaani wewe binafsi unamutazamo gani juu ya kitu ambacho umekiangalia.

Wakati tulipo hitimu ngazi mbalimbali, tujua tumesha maliza kila kitu lakini ukweli ni kwamba hujamaliza na huwezi maliza kwa  sababu mambo yanabadilika sasa kama mambo yanabadilika wewe usipo jifunza si utaachwa pale na mawazo yako ya zamani unaweza ukasema mbona mimi naona poa tu mambo yanaenda, kiuhalisia yanaenda lakini lazima ujue wewe unaendeshwa mara huku mara huku kwa sababu huna upekee uliopo ndani yako. Kwahiyo kujifunza kunakupa wewe upekee wako binafsi.

Sasa nisikuchoshe sana mpendwa wangu ngoja tuende mojakwamoja katika mbinu mbalimbali za kujifunza kwenye maisha.

Mbinu ya kwanza ni kujifunza kupitia mazungumzo yako na mtu mwingine au kikundi fulani. Sasa hapo kila neno linalozungumzwa lazima ulichukulie kwa uzito kiasi na uliangalie kwa mtazamo wako binafsi na ili kujifunza zaidi lazima uwape nafasi zaidi kuriko wewe kuwa mzungumzaji zaidi na wewe unakuwa msikilizaji sana kuriko kuzungumza. Haijarishi yuho mtu anazungumza kitu gani hata kama ni pumba anaongea lazima usikilize itakusaidia kitu fulani. Kama wewe unataka mambo mazuri kila siku sasa mabaya utayajuaje? Kuwa msikilizaji.

Penda sana kujisomea vitabu mbalimbali. Hii mbinu kwangu mimi naichulia kama mbinu kuu katika kujifunza, usomaji wa vitabu una raha yake bwana na hapa ndipo kwenye maarifa ya watu chanya, kwa sababu mtu anayeandika kitabu huwa anatoa kitu kilichopo ndani yake kwahiyo kama wewe ukikisoma kile kitabu tayari unachukua upekee wa mtu mwingine. Sasa ukisoma vitabu vingi utatengeneza kitu kipya kutoka kwenye vitu mbalimbali. Mpiganaji BLUES LEE alijifunza style mbalimbali za mapigano halafu akaja kutengeneza kitu ambacho kipya kabisa na ndicho kilicho mpa jina kubwa.

Jifunze kupitia internet. Saizi mambo yamerahizishwa yaani mda wote unaweza kujifunza yaani kila kitu kipo poa tu unacho taka unakipata.

Jifunze kupitia mikanda mbalimbali ya cd. Ndio unaweza kujifunza kupitia mbinu hii kwa kuangali tv ukajifunza.

Zipo mbinu mbalimbali za kujifunza ni nyingi sana kama luenda kwenye semina  kwahiyo ni nyingi sana lakini kujifunza ni jukumu lako wewe lazima uongeze maarifa kwa namna yoyote ile na kujifunza ndiko kunawapa watu mafanikio pia kunawapa watu uhuru wa maisha.

Fanya kazi kwa ugumu utafanikiwa.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates