JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, November 20, 2017

Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu kupuliza kipyenga?

 Sadick Kilasi     November 20, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, NJOZI, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa wangu, karibu katika makala hii ya leo ili uweze kujifunza na kuongeza maarifa. Natumai unaendelea vizuri na upo tayari kwa ajiri ya siku hii ya leo katika shuguli zako za maendeleo au kuongeza dhamani katika maeneo mbalimbali. Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajiri ya siku hii ya leo, huwezi kusema ni kwaajiri ya uwezo wangu utakuwa unaongopa sana. Ni jambo la kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajiri ya siku hii.

Mpendwa rafiki yangu kati ya kipindi ambacho mambo yote yapo sawa basi zama hizi mambo yote yapo tayari, ni kila nyanja mambo yapo sawa na tunainjoi sana kuishi zama hizi ambazo ni zama za mawasiliano. Chochote unachotaka kipo tayari ni wewe kukamirisha tu ratiba yako, kitu gani unataka? puliza kipyenga sasa.

Je unataka kuanza biashara na hauna mtaji? Huwezi kusema siwezi kuanza biashara kwa sabababu sina mtaji wa kuanzia utakua unakosea sana japo hukosei kwa namna moja au nyingine unakosea, zipo biashara ambazo unaweza kuanza hivyohivyo ulivyo na ukaendelea mbele. Biashara kama network marketing[biashara ya mtandao] ni biashara ambazo unawza kuanza bila ha mtaji.

Je unataka kuanza mazoezi na unashindwa namna ya kunza? Tayari kila kitu kipo cha kukuongoza ni wewe tu sasa kusema sasa nataka kuanza mazoezi download alamu aplication ambazo zitakuamsha asubuhina jifunze namna kuanza mazoezi, zipo aplication ambazo zina sound ambazo zitakupa hamasa ya kuendelea kufanya mazoezi.

Unataka kuandika na kuacha alama kwenye maisha yako kila kitu kipo sawa, blogu ni jukwaa zuri sana la kuandika na unakuwa unaandika mafunzo au habari yoyote ile unayotaka kutoa cha msingi uwe unatoa kitu cha dhamani kwenye jamii na inafaidika kutoka kwako na hapa ndipo unapoweza kuanza kutengeneza kipato chako kwa kutumia tu simu hiyohiyo uliyo nayo, kwahiyo tayari biashara bila mtaji.

Je wewe unataka marafiki wa ukweli wa kusafiri nao katika ndoto yako unaona kama huna watu sahihi? Mpendwa wangu kama wewe upo tayari basi wapo wengine nao wapo hivohivo  sasa wewe anza kuwaonesha watu hao ya kwamba wewe ni mtu sahihi sasa kama hivi kama wewe unataka kwa rafiki yangu au mtu wangu wa nguvu basi jaza form hapo chini tayari unakuwa rafiki yangu tutakuwa wote.

Kila kitu kipo sawa ila wewe haupo sawa na wewe ndio refa wa maisha yako, na kila kitu kina mda wake kama ulivyo mpira wa miguu  ni dakika tisini tu kwahiyo ndio maana tuliwekewa masaa, kama huchukui hatua shauri yako. Mchezo dakika tisini tu unaweza ukaishi kwa mfumo huo tu kwa kuchukulia maisha yapo ndani ya dakika tisini, ukipoteza dakika moja inakula kwako.

Puliza kipyenga sasa wakati ni sasa hili ndilo jambo la msingi kwenye maisha yako na chukua hatua.

Fanya kazi kwa ugumu utafanikiwa.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com


Subscribe to our mailing list

* indicates required
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates