JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, October 31, 2017

Mjasiriamali mdogo fanya mambo haya ili biashara yako ikue vizuri

 Sadick Kilasi     October 31, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, NJOZI, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa wangu msomaji wa Jiko l ushauri. Mwenyezi Mungu mwema katujalia siku hii hii mpya na sisi kwa pamoja mimi na wewe msomaji wangu hatuna budi kusema asante Mwenyezi Mungu kwaajili ya siku hii mpya tunaomba utuongoze katika siku hii na kwenye shughuli zetu za kutafuta mafanikio tunaomba utujalie tufanikiwe.

Karibu tena mpendwa wangu msomaji ujifunze kwenye makala hii yenye kichwa kisemacho [Mjasiliamali mdogo atafanikiwa kwa kufanya mambo haya kwenye biashara yake]. Makala hii inawalenga wajasiriamali wadogo lakini hata wakubwa wanaweza kujifunza maana elimu haina mwisho.

Kwanza mpende mteja wako. Unatakiwa kumpenda mteja wako kuriko hata biashara yako. Mteja lazima ajisikie kuwa na furaha wakati anahudumiwa na wewe, wakati ananunua kutoka kwako dhamani unayompa lazima iwekubwa kuliko hata bidhaa yako au huduma unayo muuzia. Mteja wako ndiye anaye simamisha biashara yako bila yeye wewehuna biashara. Kwa kuonesha unamjari mda mwingine unaweza kumpigia simu na kumweleza kuhusu huduma unayotoa labda imepanda bei au kushuka, unamweleza kabla hajaja dukani kwako. Hivyo utaonyesha ya kwamba unamjali na yeye atakuamini wewe.

Uza bidhaa zenye ubora mzuri. Hakuna mtu anayependa kitu kibaya na ambacho hakina ubora. Kama mteja akinunua kwako ambato haina ubora kwa kutokujua harafu ikaenda ikamharibia usitegemee ya kwamba huyo mteja atarudia kwako tena. Mfano; Wewe unauza matifari ambayo si bora na mteja akaja kwako kununua wakati huo yeye hana utaalamu wowote kuhusu matofari na wewe ukamwuzia , mteja wako akapakia kwa uslama tu kwenye gari na wakati wa kushusha akakuta yamekatika sana na kuvunikavunjika, akauliza mtaalamu kwanini matofari yangu yamekatika sana akaambiwa matoafari haya si mazuri na hayana ubora. Usitegemee mteja huyo ya kwamba atarudi kwako, wewe ndo umemfukuza kwa bidhaa yako.

Jihadhari sana na mikopo. Lazima uwe na tahadhari juu ya mikopo. Neno mkopo kwako kiwe kitu cha mshangao lazima ujiulize swali kwanini namkopesha au kwanini nakopa. ukipata majibu fanya maamuzi. Kumbuka usimkopeshe mtu bila sababu hata kama unamjua vipi pia kopa wakati wateja wanapokuwa wengi kuliko bidhaa zako.

Ijali sana biashara yako. Kuwa na nidhamu na biashara yako katika nyanza zote. Fungua biashara yako kwa mda maalumu na kufunga kwa mda husika , usafi ni muhimu sana katika mazingira ya biashara yako. Jifunze mengi juu ya biashara yako.

Kutokana na mabadiriko ya mazingira, uchumi na teknolojia ipo sababu ya kujifunza mara kwa mara juu ya biashara yako. Mambo mengi yanaibuliwa kila kukicha kwahiyo huna budi kujifunza kila siku.

Fanya kazi kwa ugumu utafanikiwa.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 068700076 au kwa barua pepe sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ▼  October (2)
      • Mjasiriamali mdogo fanya mambo haya ili biashara y...
      • Tengeneza tabia hizi ili ufanikiwe kimaisha.
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates