JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, June 13, 2018

Mzazi Usimwadhibu Mtoto Kibinafsi.

 Sadick Kilasi     June 13, 2018     MAHUSIANO     No comments   



Siyo vibaya mtoto kupewa adhabu kutoka kwa mzazi wake. Mtoto lazima aonywe kwa sababu anapaswa kuonywa.

Katika dunia hii ya wema na ubaya adhabu kwa mtoto ni ya muhimu sana ili kumpa tahadhari mtoto.

Lakini kuna kitu kimoja ambacho wazazi huwa wanafanya bila kutambua wanapompa adhabu mtoto ni kwamba wanampa adhabu mtoto kibinafsi yaani mzazi anamwadhibu mtoto kama anavotaka yeye. Wengi wanawadhibu watoto kuvutia kwao haijarishi inafaida au la. Wengine huadhibu watoto wao kwa sababu huogopa aibu kutoka kwa watu wengine.

Wengine huwaadhibu watoto wao lakini wao huendelea kufanya yaleyale makosa ambayo watoto wanefanya ama la wanafanya makosa mengi tu ambayo wao wenyewe huyafunika makosa yao.

Katika dunia hii ya matokeo, dunia ambayo ambayo inaendeshwa kwa mtazamo ni vema mzazi ukawa unamwadhibu mtoto huku ukitambua kabisa namuonya au nampa tahadhari ya kwamba dunia hii ni ya kuwa na tahadhari na kila kitu. Lakini ikiwa utamwadhibu mtoto wako kwa kuona kwamba unachofanya ni sahihi, utamwonya bila kujua unachofanya. Dunia hii hakuna aliyekamilika. Mwoonye mtoto kwa upendo si kwa mapenzi. Mpe tahadhari mtoto si kumwambia usifanye kabisa. Dunia hii ni ya hisia na mtazamo. Katika mazingira yoyote unayoyaona tambua kwamba ni mtazamo wako lakini sio wewe. Ushawahi kuona jambo kwa kipindi fulani ulikuwa unaamini ni sahihi lakini ikafika wakati lile jambo kumbe ulikuwa unakosea yaani halipo hivo tofauti na ulivokuwa  unaona, kwahiyo kuwa makini na kila kitu kwenye hii dunia.

Je ni ipi adhabu nzuri?

Ni Mungu pekee ambaye hutoa adhabu nzuri ya upendo na yenye faida. Wana yaani wakomavu hufurahia sana adhabu ya Mungu kwa sababu inafaida kubwa sana baadae.

Mungu hutoa adhabu kwa watoto wake kwa muda maalumu kwa umri maalumu na hali maalumu.

Kwahiyo ni vema mzazi kuwa na utambuzi wa adhabu ambayo unampa mwanao, je imejiunganisha na upendo wa Mungu? Adhabu kwa mtoto ni muhimu.

Ukawe na siku bora kabisa na kutafakari hili. Kama bado hujajiunga na kundi letu la WhatsApp basi tuwasiliane ili uungwe kwenye kundi. Kuna mengi yakujifunza karibu sana ujiunge nasi. Tuwasiliane kwa 0687000768 au sadikila65@gmail.com. Tuma ujumbe.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ▼  June (17)
      • Jiandae Kutegua Chochote Kwa Wakati Wowote.
      • Kutumia Sheria Ya 'Ndani Nje' Kutatua Matatizo.
      • Viashilia Viwili Ambayo Vitaonyesha Kwamba Umefiki...
      • Jifunze Kufanya Kitu Hiki Siku Zote Za Maisha Yako.
      • Ishi Ndani Ya Wakati Usipoteze Chochote.
      • Acha Ushabiki Kuwa Mwanafunzi Kwenye Kila La Maish...
      • Tiba Kwa Ajili Ya Mawazo Na Stress.
      • Anayetunga Siye Anayeamua Wala Anayeamua Siye Anay...
      • Kaa Na Ujisikilize Mwenyewe Unasemaje.
      • Usiamini Ukweli Namna Unavotaka Wewe Bali Amini Kw...
      • Kuuondoa Matatizo Yako Yote Fanya Kitu Hiki.
      • Mzazi Usimwadhibu Mtoto Kibinafsi.
      • Upendo Na Haki Vikifanya Kazi Kwa Pamoja Huleta Us...
      • Ukweli Haupambwi.
      • Chochote Kinachofanyika Kwenye Ulimwengu Huu Ni Ch...
      • Kama Dunia Ingekuwa Hivi..
      • Kuwa Na Matumizi Mazuri Na Hali Yako.
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates