JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, February 22, 2018

Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga Mahusiano Bora Na Wengine.

 Sadick Kilasi     February 22, 2018     MAHUSIANO     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, natumai umeamka salama kabisa. Hongera kwa ushindi huu mzuri wa kuamka salama, ambao Mwenyezi Mungu kakushindia. Hatuna budi mimi na wewe msomaji wangu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa ushindi huu. Kulala na kuamka ni ushindi mkubwa sana, wapo ambao waliweka mipango mizuri kwa ajiri ya leo lakini washindwa kuamka.

Ni ukweli usiopingika kabisa maisha ni mahusiano, huwezi kuishi vema kama usipokuwa na mahusiano na mtu yeyote. Tunaishi tukiwa tunahusiana na watu mbalimbali, ambao tunawajua na wengine hatuwajui lakini yote haya ni mahusiano. Kuna mahusiano ya aina mbalimbali, mahusiano ya ndoa, mahusiano ya ndugu, mahusiano ya marafiki na mahusiano ya mwingiliano wa watu mbalimbali ambao hatuwajui.

Tunahusiana na watu kwa sababu mbalimbali, lakini ukweli ni kwamba wakati huohuo wa mahusiano ndipo na migogoro na matatizo na mafarakano huanza. Tukiwa tunakutana, kila mtu anawasirisha tabia na haiba yake, kwa mwingine. Ukweli ni kwamba kila mmoja amelelewa tofauti na mwingine lakini pia na haiba ni tofauti kabisa na mwingine. Watu wawili wanapokutana lazima wawe tofauti kabisa kutokana na tabia na haiba zao. Hata mapacha tu hawezi kufanya vitu vinavofanana.

Tofauti na migogoro huanzia hapa kwenye uwasirishaji wa tabia na haiba. Mtu anapowasirisha tabia yake mwingine anaona kero kwake na haifai kutokana na maadili yake.  Lakini yote hii inategemea utambuzi na uelewa wa mtu juu ya hilo jambo aliloambiwa. Mafarakano yanaanza pale tunaposhindwa kuelewana watu wawili au makundi mawili.

Kuna siraha mbili ambazo wewe msomaji wangu unapaswa kutumia wakati wa migogoro inapotokea na ukajenga mahusiano bora kabisa na wengine. Migongano haina budi kutokea lazima itokee.

1. Wachukulie watu wote wanamapungufu. Hii ni siraha bora sana, utakapo wachukulia watu wote wanamapungufu kwako haita kuwa shida unapokutana na mtu mkashindwa kuelewana. Ukweli ni kwamba kila mmoja anamapungufu yake na udhaifu wake. Utakapochukulia kila binadamu anamapungufu haitakuwa tatizo sana kwako kwa sababu utakuwa umejiandaa kisaikolojia.

2. Chukulia ya kwamba hakuna mtu mbaya duniani, ila kuna mabaya duniani. Hii nayo ni siraha nzuri sana katika maisha. Ukweli ni kwamba hakuna mtu mbaya duniani lakini kuna mabaya duniani. Tulizaliwa tukiwa wazuri tu lakini yote haya tumeyakuta huku huku duniani kwahiyo sisi siyo wabaya ila kuna mabaya. Jambo muhimu unapoishi fuata njia njema tu,  achana na mabaya, mabaya yapo na yataendelea kuwepo. Unapokutana na mtu kafanya makosa wewe unapaswa kuichukia ile hali iliyotokea pale na wewe utakuwa huna mgogoro na mtu yeyote na utaishi vema.

Siraha mbili hizi zinatosha kwako wewe rafiki yangu kuishi vema na watu na itapunguza kwako wewe mafarakano na wengine.

Endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi. OMBI: Nisaidie kuwashirikisha wengine ujumbe huu uwafikie wengi zaidi.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com, maoni ni muhimu.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ▼  February (25)
      • Zawadi Ya Pekee Ambayo Leo Hii Unapaswa Kujizawa...
      • Chachu Za Maisha Na Mafanikio.
      • Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswal...
      • Maisha Yanahitaji Kitu Hiki Ili Yawe Maisha Yenye ...
      • Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia...
      • Kutaka Taka Sana Mwisho Utakuwa Takataka.
      • Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga M...
      • Hii Ndio Sababu Kubwa Ya Mahusiano Mengi Kuvunjika.
      • Sifa Ya Barua Ambayo Itakuwa Msaada Kwa Vizazi Vi...
      • Kama unapitia changamoto nzito katika maisha yako,...
      • Hakuna mazuri yanayokuja bila mabaya.
      • Hiki ndicho kitu adimu kupatikana zama hizi.
      • Chochote unachopitia kinapita.
      • Hili ndilo darasa tosha kwa kila mmoja katika maisha.
      • Jambo moja ambalo unapaswa kulifikiria kila siku
      • Nimekusamehe, lakini sitakusahau.....Mzani.
      • Hatima ya maisha ya kila mtu inategemea kitu hiki
      • Hili ndilo kosa kubwa ambalo wengi tumekuwa tunali...
      • Hii ndiyo hali ambayo inawatesa watu wengi sana za...
      • Mienendo miwili unayotakiwa kuishi nayo ili kupata...
      • Je hivi ndivyo ilivyo?
      • Njia ya kudhibiti mawazo yako.
      • Penye wema pana ubaya, penye ubaya pana wema pia.
      • Kwanini makosa?
      • Acha kusubiri ukamirifu, walio kamirika wapo makab...
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates